Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

Hapo
queens_kings_official___B_VyMWrBcNg___.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Boss amini kwamba inawezekana, mimi hata nikioa leo afu nimkute mke anachepuka sikasiriki wala simsemeshi naenda home namuwekea mizigo getini
juzi hapa kuna jamaa alitaka kung’oa manzi yangu sasa akawa anajihisi anaogopa kuhusu mimi,wana walivonambia nikamwambia jamaa awe huru tu mana mi sina muda wa kumuelewa manzi sana,jamaa alimpanga demu akatiki
Mimi sijui hata kama nitaoa,nina wivu kinoma yaani..haya mambo yananiumizaga sana,demu wangu akiwa mbali roho yangu inakuwa juujuu nakuwa nawaza tu kuwa inawezekana kuna njemba linapoa nae..
 
Mimi sijui hata kama nitaoa,nina wivu kinoma yaani..haya mambo yananiumizaga sana,demu wangu akiwa mbali roho yangu inakuwa juujuu nakuwa nawaza tu kuwa inawezekana kuna njemba linapoa nae..
mkuu na mimi nilikuwa hivo kama wewe lakini maisha yamenibadilisha,jiulize kwan huwezi kupata mzuri zaidi yake ? akikazwa nawe unatafuta mzuri zaidi, unafaa ujiandae tu kisaikolojia, nina jamaa yangu anakaza sana mademu wa watu nimejufunza kutoka kwake kitu kimoja mwanamke haelewi anataka nini
 
Hapa mbona pamebonyea ndani ipo kweli? [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
 
Back
Top Bottom