Ila wanabodi ni vizuri tupeane msaada iwapo mwenzio amekuomba Japo hata namba tu
ili apigane kiume mwenyewe anavyojua!
Sasa kweli ataweza:
1. wewe mtoa Namba akupe hela
2. mtoa Jicho nae apewe hela
3. Gesti atakayoenda atoe hela
4. Boda au Tax atayemleta demu apewe hela
5. Mtu wa chakula hotel apewe hela
6. Mtu wa vinywaji nae apewe hela
7. Salio la kifurushi voda, Halotel nao hela
Jamani hatuoni kuwa ni gharama sana?
Nadhani haya mengine tusaidiane tu
Kitu Kama namba wanabodi!
View attachment 1755143