Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

All the best kamanda tupo na wewe kujenga Taifa
 
Yaani watake wasitake Waafrica tunazaa watoto wazuri DUnia nzima tena wa kila Rangi!!!

Weusi
Weupe
weupe peee!!
weusi tiii.
Maji ya kunde
rangi ya upinde yaaani!
africa hoyeeeee!!
hata wafanyeje ndo tulivo umbwa hakuna jinsi!!!

Na rangi za miili yetu hivo hivo
hapa peusi kidogo na kule kweusiiii!! zivu lina ng'aaa!! ni msitu! wa kuvutia majambazi Mweeee!! hapo ukute ni msela alijaribu tu kutia mbegu, toto hiloooo!!! guu ka mwichi!!

NDo maana wazungu wanatuonea wivu!!! mademu wao wa pinki tyu tuuuuuu!!! halafu wa baridiiiii!!
 

Nakubaliana na wewe kabisa, Hakuna kama wanawake wa kiafrica
 
kuuumbe!! uko mulemule Baba!! nina ka hivo Mzee baba!!! yaani km ulikuwepo!!! nilivo kuwa naambiwa mie!! siku moja haka ka mtu kangu Kalinunua kapu la tenga bana la kuwekea nguo zilizo tumika usiku wakati wa kula kikaanza..

''watu wa humu ndani hiki kikapu ni cha nguo chafu ziwekwe humu!! daa! wakati tuko watatu tu!! utasikia ''mbona unaangalia hawa watoto kwa jicho baya!! yaani utopolo bin michosho tupu!!! na kalikuwa kanapenda kusema hovyo wkt wa msosi uko mezani daa!!

siku ya siku ilipowadia sasa, asubuhi kimya kimya km naenda mzigoni vile! ! nilikaacha kitandani kamelala ... asee!! nikakwea pipa huyooo! ntolee !! ntolee na weye! sikurudi tena mpaka leo!! kalinisikia baada miezi tisa huyo jamaa kwa sasa yuko New zealand!!!!

Hakakuwahi kujua wala kusikia km nina Pass port!! japo kenyewe kalikuwa nayo!! sasa siku usipokula msosi sasa weee!! na hakapiki!! sababu tu wote mnafanya kazi!! apike house girl! afue house girl. na atandike kitanda pia!!

Dawa yake huyu!! muache ivoivo usigombane nae!! wala kumkanya!! ili akafanye hayo hayo kwa wanaume wengine huko aendako bibi mmoja alinifundisha hivi!!

kwa mshangao hakakunipigia tena mpaka leo!! km kamekufa vile!! sikasikii tena!! ni km kamekufa tu!! e-mail hakajibu!! Mbaya wake nawasiliana nae amekapigia weee!! kamekaa kimya tu!!

sasa sijui kamekufa au kako hai!! F/book kamelikimbia chimbo. baada ya kuniona naranda randa kule!! kiubinadamu kuna Mademu unaweza kuwa Miss kabisaa kwa wema wao!! na ukatamani kurudi! kwa malipo makubwa lkn siyo vichanchuda vya hivi!!

aseee!!! ukikomaa kukaa nako ka hivi unaweza kufa ghafla bila kuugua!!! au uwe km mwenda wazimu vile!! ukistuka kama hivi tambaa kabisa usiangalie nyuma!! kanaweza kuja na akili mbadala!! cha ajabu sasa!! eti!! nako kanakupenda!!! so tangia hapo..

Hakakunijibu tena!! sasa sijui kalikuwa kana niroga niharibikiwe ki- maisha kakashtuka niko pasipo fikika kirahisi kakapigwa ganzi ya Macho!! hakaeleweki!! hata hakaamini kilichotokea!
 
Aisee huyo sio mwanamke ni gubu hilo. Uliliokota wapi mkuu?[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…