Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

huu uzi hautakuwa na maana kama mrembo wangu sanchoka atakosekana
 
sio nna wivu ila mwanamke akiwa na makalio makubwa mie nahis huwa wanawaza kimakalio tu !akil izooote zinahamia huko !lol!
wasikubishie uko sahihi kabisa babe!!demu akiwa na msambwanda akili na mawazo yooote yapo huko wanaume sisi tunapata taabu mitaani huku we acha tuu
 
Mbona wakawaida Mkuu. Hiyo picha imepigwa Kamera ikiwa kwa chini. Yaani imechukuliwa kwenye angle ya chini. Lazima umuone anashepu na mrefu.

Lakini ingepigwa kwa usambamba moja kwa moja ungeona uhalisia wake. Kwa ujumla Aliyepichani ni Mwanamke Mfupi wa kimo wa Futi nne na nusu.

Sura ya kawaida Sana. Hili linathibitishwa na wigi alilovaa.
 
kuna mmoja nilikutana nae ni nomaa uyo cha mtoto .sema tu siwez weka picha yake bila ridhaa yake
 
Nasema hivii kama yupo ajitokezee

Kuna 50,000 cash hapa

130cad11000735b1976ea5332d634aa3.jpg
mxieew kwa urembo gani hasa alionao
 
Back
Top Bottom