Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dahh[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Mkuu nampataje huyo
Naona mmeanza vituko... Huyu mbu with fairness from head to toe naye Ni mrembo?
Wa buza huyoWorld wide???
Wako wapi
Nani kakuambia ukimwe unaua.. 😬😬 Kifo kipo tu usipokufa kwa maralia kipindua pindua kipo.. na usipo kufa kwa kipindua kansa ipo na usipokufa kwa kansa utakufa kwa maumivu ya kichwa au msongo wa mawazomsisahau UKIMWI bado upo na unauwa.
utapata kazi ya kumeza dawa kila siku hadi mwisho wa uhai wako.
Acha tamaa jali afya yako epuka ukimwi
Nahisi kama nimiesha wahi pitia hii pisi.. ila sina uhakika database ime fail ku loadTudhamini vya nyumbani, Rock City Mwanza... 🔥🔥🔥View attachment 1474663
Sio chuo cha ushrika ? Hako ka dada kana nyota ya instagram imekanyanyua kinoma.. hata kukatia sasa hivi dau litakuwa kubwaHiki chuo kipo Moshi nimekisahau jina..View attachment 1474660 kina pisi Kali balaa
Hilo jukwaa halipo mimi nimeliomba mno sijawahi kulipataJamaa kule si anafunguo.. hata ukiamishwa, tutaobaki tunapata tabu ni sie tusio na funguo za kule
Huyu anapatikana wapi