Wakuu kuna manzi nimeitongoza uraiani nilikuwa naponea kupunguza oil kwake sasa jana kaja na mpya amesema anataka anipe kwa mplange pamoja na uhuni wangu huko sijawahi fika
Nikatae au ila si ataniona fala ? Nikubali au maana sijawahi fika huko naskia wakina anasbo humu wanakusifia tu je hakuna madhara ?
Which is which ?
Unatuangusha Comrade, Manzese gani iyo unayotoka wewe?