Special thread: Toa ya moyoni

[HASHTAG]#MWAFWAAAAA[/HASHTAG] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nafunguka ya moyoni kuwa CHIKIRA MTABARI umefungiwa wapi, mbona huonekani??

Nimekumiss aseee, hasa kile kicheko cheko.

Mimi na yeye tumejificha mbali huku kijijini, hapa nimekuja kucheki network mara moja halafu narudi tena chimbo, hatupatikani kiurahisi.

Soma meseji hapa tuliwaaga.

Chikira Mtabari nawaaga

 
Jamba kila unapopata nafasi lasivyo gesi chafu itapanda kwenye ubongo that's were shit ideas came from.
 
I wish ningefanya kazi ya kipaji changu, !!! Thats all!!
 
Miezi mitatu iliyopita ,nilivamiwa nikanyang'ganywa mkoba wenye vifaa vyote vya kazini pamoja na sim mbili .usumbufu niliopata ni mkubwa maana nilibeba dhamana za watu pia ! Niliumia katika harakati za kujitetea ,lakini niliumia nafsi zaidi kwa kupoteza vitu vyangu ,imenicoast sana kujibeba tena na mpaka sasa nashindwa kuanzisha thread humu maana hii cm niliyonayo siielewi elewi ...inaninyima raha ,nimebaki kuchangia mada !
 
Jamani pole sana mwaya,ndio maisha haya na jambo limeshatokea huna budi kukubaliana na hali maana hautotokea muujiza kila kitu kirudi kama hapo kabla.
Pole sana
 
Honey faith hata salamu tuu roho yangu itasuuzika.
 
Huu mwezi ukipita kimya bila ajira kutolewa, kila mhusika ajiongeze kwa namna yoyote ile. Maana kama ni kuisoma namba imeeleweka kwa kila mhusika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…