Bilionea Asigwa JF-Expert Member Joined Sep 21, 2011 Posts 16,515 Reaction score 28,506 Feb 8, 2017 #41 CHIKIRA MTABARI said: Nimerudi leo niko mjini asigwa wange! ahsante kwa kunikumbuka. nilienda vijijini field kama mwezi kasoro siku kadhaa Click to expand... Dah, uliondoka bila kuaga bana, tukawa na wasiwasi kidogo. Karibu sana jukwaani , tulikumisijeeeee
CHIKIRA MTABARI said: Nimerudi leo niko mjini asigwa wange! ahsante kwa kunikumbuka. nilienda vijijini field kama mwezi kasoro siku kadhaa Click to expand... Dah, uliondoka bila kuaga bana, tukawa na wasiwasi kidogo. Karibu sana jukwaani , tulikumisijeeeee
N NAKWEDE JF-Expert Member Joined Aug 1, 2007 Posts 27,970 Reaction score 35,168 Feb 9, 2017 #42 asigwa said: Dah, uliondoka bila kuaga bana, tukawa na wasiwasi kidogo. Karibu sana jukwaani , tulikumisijeeeee Click to expand... Ahsante sana asigwa! halafu jana wakati Makonda anasoma yale majina nilisikia jina kama "asigwa: hahahahahaahha
asigwa said: Dah, uliondoka bila kuaga bana, tukawa na wasiwasi kidogo. Karibu sana jukwaani , tulikumisijeeeee Click to expand... Ahsante sana asigwa! halafu jana wakati Makonda anasoma yale majina nilisikia jina kama "asigwa: hahahahahaahha
Da'Vinci JF-Expert Member Joined Dec 1, 2016 Posts 35,812 Reaction score 107,628 Feb 9, 2017 #43 Nitoe yapi mkuu, damu au mishipa mmm sielewi