Special Thread: Trending Now in Kenya

Special Thread: Trending Now in Kenya

ati kolabo with who?...davido?.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...haki wakenya mnatia huruma. haya endeleeni kufanya kolabo na wanaija.
Eeh unataka tufanye na kina rickross ama omarion alafu ngoma yenyewe haichezwi marekani
 
Toa Victoria hapo weka Timmy tdat...
Here is the list
1.sauti
2.nyashinski
3.otile brown
3.k Jones
4.willy Paul
5.Timmy that
6.bahati
7.nameless
8.king kaka
9.wyre

10.Nai boi
[emoji87] [emoji15]

Hii list nzima ni wana illuminati...

Bahati, nyashinski, otile, nai...
Ni hatarii hii...
 
One love blood, me kwa east Africa wakenya nawaelewa sana.....

But mostly of Kenyan wako ready kujoin na illuminati...
Illuminati ni church poa sana. 🙂 Kila mtu ndani ana bling zake. Sio kama zile zenu backbenchers ndani ya kanisa jumapili wamevaa nguo zimechanika chanika hadi wanajificha. 😀 Sema Amen! 😀
 
Eeh unataka tufanye na kina rickross ama omarion alafu ngoma yenyewe haichezwi marekani
hii ndio shida ya ku argue na watchman.mda wote akili yake inawaza kudinywa na wakora kwa geti.

kwa maana hiyo akili yako inakwambia whenever there is a music collabo between east africa musicians and western musicians, basi video au audio lazima ichezwe na media za marekani?. smh

kwani wewe unadhani owner wa mtv base, trace tv and box africa ni nani?... au unadhani owner wa hizo channel ni sk macharia wa royal media?.[emoji23].

fyi mtv base, trace and box africa are international tv channels which have dedicated their airtime to play and promote music videos by artists from africa continent. yet owners are not africans...owners are citizens of USA and europe.

na ukiona wanamziki wenyu hapo kenya video zao hazichezwi na hizo channels, basi jua mnawanamziki vilaza.[emoji23]
 
hii ndio shida ya ku argue na watchman.mda wote akili yake inawaza kudinywa na wakora kwa geti.

kwa maana hiyo akili yako inakwambia whenever there is a music collabo between east africa musicians and western musicians, basi video au audio lazima ichezwe na media za marekani?. smh

kwani wewe unadhani owner wa mtv base, trace tv and box africa ni nani?... au unadhani owner wa hizo channel ni sk macharia wa royal media?.[emoji23].

fyi mtv base, trace and box africa are international tv channels which have dedicated their airtime to play and promote music videos by artists from africa continent. yet owners are not africans...owners are citizens of USA and europe.

na ukiona wanamziki wenyu hapo kenya video zao hazichezwi na hizo channels, basi jua mnawanamziki vilaza.[emoji23]
Hiyo ni madharau omarion analipwa 30000 USD kutoa kollabo na ata hawezi weka hio song kwa page yake .....drake wakichapa na wizkid inachezwa marekani
 
Illuminati ni church poa sana. 🙂 Kila mtu ndani ana bling zake. Sio kama zile zenu backbenchers ndani ya kanisa jumapili wamevaa nguo zimechanika chanika hadi wanajificha. 😀 Sema Amen! 😀
[emoji15] [emoji87]
Ushaona wapi wanakaa backbencher na nguo kuchanika.... Tutake radhi wewe

Kusali Mungu haangalii mavazi bali anaangalia moyo.
 
hii ndio shida ya ku argue na watchman.mda wote akili yake inawaza kudinywa na wakora kwa geti.

kwa maana hiyo akili yako inakwambia whenever there is a music collabo between east africa musicians and western musicians, basi video au audio lazima ichezwe na media za marekani?. smh

kwani wewe unadhani owner wa mtv base, trace tv and box africa ni nani?... au unadhani owner wa hizo channel ni sk macharia wa royal media?.[emoji23].

fyi mtv base, trace and box africa are international tv channels which have dedicated their airtime to play and promote music videos by artists from africa continent. yet owners are not africans...owners are citizens of USA and europe.

na ukiona wanamziki wenyu hapo kenya video zao hazichezwi na hizo channels, basi jua mnawanamziki vilaza.[emoji23]
jana east africa top ten kenya ilitoa ngoma nne,..naongelea TraceMziki....so usidanganye umma infact 5out of 10
 
Back
Top Bottom