acha ujinga wewe... nyinyi ndio mnaofanya wakenya watuone watz wote vilaza. jinga kabisa wewe.How's my girl Peninah Karibe doing, is she still single? Anybody with her contacts please feel free to drop me a line through PM, I'll offer a cow or camel as a gesture.
Raila handshake with Nairobi Business Community the mzee is out of mind.View attachment 774092
The Oscars award winner Lupita nyongo came was in kisumu 3days ago With the main aim of Building Lupita state of art in worth millions of shilings in the lake side cityThis trend is specifically for anything trending East Africa's biggest economy mainly News,sports,memes,hot trends in twitter ,music,movies and many more
DISCLAIMER
We dont want boring tanzanian news here
Mulisaaa na yeye ama mta- adopt Mtoto?
acha ujinga wewe... nyinyi ndio mnaofanya wakenya watuone watz wote vilaza. jinga kabisa wewe.
basi sawa. nilidhani ulipotea njia uliweka comment kwenye jukwaa ambalo sio. lenyewe.yaani unashindwa kuelewa sarcasm mkuu? Soma alama za nyakati.
Kilaza ni wewe, yaani unashindwa kuelewa sarcasm mkuu? Soma alama za nyakati.
Kumbe hata na nyinyi manyang'au pia huwa mnachinjana eeh? Dah! [emoji15][emoji23]basi sawa. nilidhani ulipotea njia uliweka comment kwenye jukwaa ambalo sio. lenyewe.
wapi tumechinjana?.....acha uchonganishi.Kumbe hata na nyinyi nyang'au pia huwa mnachinjana? Dah! [emoji23]
basi sawa. nilidhani ulipotea njia uliweka comment kwenye jukwaa ambalo sio. lenyewe.
Kumbe hata na nyinyi manyang'au pia huwa mnachinjana eeh? Dah! [emoji15][emoji23]
nimekusoma comrade, tupo pamoja.wakenya ni kama mnyama fisi anayesubiri mkono wa binadamu udondoke autafune.Wakenya ni watani wetu, kuna mada zingine unasoma tu na kuzipotezea. Unakumbuka yule mleta mada alisema kuwa hataki habari boring za watanzania na mimi nikatumia utani ule kwa kumuuliza kuhusu Peninah Karibe anaendeleaje. Usichukulie kila kitu serious, hapa mtandaoni kuna ya maana na ya utani mkuu. We are good, sina kinyongo na wewe nilijuwa hukunielewa lengo langu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Mpotezee huyu pingli-nywee, mirungi inamsumbua.
Mirungi si chakula mkuu, nenda kwanza kale then soma tena wapi 'tumechinjana'...hatupo katika status ya uchaguzi wa Kenya mimi na kadoda11
Haina presha jombaa, nishapotea.Mpotezee huyu pingli-nywee, mirungi inamsumbua.
Ashachukuliwa na Gecaga Jomo cousin yake Uhuru K.How's my girl Peninah Karibe doing, is she still single? Anybody with her contacts please feel free to drop me a line through PM, I'll offer a cow or camel as a gesture.