INAUZWA Special Thread: Tunauza na Kufanya installation ya vitu mbalimbali (Kamera, Umeme wa kwenye fensi, Biometry Fingerprint nk)

INAUZWA Special Thread: Tunauza na Kufanya installation ya vitu mbalimbali (Kamera, Umeme wa kwenye fensi, Biometry Fingerprint nk)

Naona mnaanza kununua high and low blood pressure Acceralator device
Hii mambo unaletewa upuuzi wote unaofanyika nyumbani/ofisini kwenye macho yako live sio mchezo
Mungu sio mjinga kukupa fursa ya kuona nyuzi 180 na sio nyuzi 360
Ana maana eti, yale yanayoendelea home yaache wewe endelea na yale ya huko ulipo ofisini kwako
Hizi camera ni majanga eti
 
images (9).jpeg
 
BILL COUNTER MACHINE*
MASHINE YA KUHESABIA HELA
🔺Usipoteze muda mwingi kuhesabu pesa, Wateja wengi wanapenda fast & excellent services
🔺Upgrade ofisi yako iwe ya kisasa zaidi kwa kujipatia hii mashine ya kuhesabia hela ili uweze kuwahudumia wateja wako kwa haraka na ufanisi mkubwa
🔺Mawakala wa Mpesa, Tigopesa etc hii sio ya kukosa kwenye ofisi zenu
🔺Inahesabu milioni moja kwa sekunde kumi tu
🔺Hii itakusaidia kugundua noti feki, hela zilizochanika na ambazo zipo katika hali mbaya
🔺Ni rahisi sana kuitumia, na itaifanya ofisi/biashara yako iwe ya kisasa zaidi na utendaji kazi utakuwa wa ufanisi zaidi

BEI:390,000 tu

✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅

TUPIGIE
0689414015
TUPO Kinondoni Studio
 
OFFER CCTV CAMERA INSTALLATION
( 30% OFF)

emoji837.png
Safewaysecurity katika kuhakikisha kila mmja anapata huduma ya usalama na ulinzi kwa njia za kitechnolojia tunakuletea offer ya gharama zetu kwa punguzo la zaidi ya asilimia 30% ya gharama.
💥tunatoa huduma za aina 3 za camera ambazo ni.

✔Coloured camera.
Izi ni analogy camera ambazo hutoa rangi ya picha kwenye mwanga na black and white kwenye giza.
Gharama zake ni 260000 kwa kila kamera. Gharama izi zinajumuisha kila kitu katika set pamoja na ufundi.
✔colourVu camera
Hizi pia ni analogy camera ambazo hutoa rangi ya picha muda wote wakati wa mwanga na pia wakati wa giza.
Gharama zake 300000 kwa kila camera.
Gharama hii inacover kila kifaa katika set pamoja na ufundi.
✔IP camera
Izi ni internet protocal camera yani zinatumia mfumo wa networt internet kupokea data na kutoa picha.
Izi ni digital camera na gharama zake ni
330000 kwa kila camera. Gharama hii inahusisha kila kitu katika set.

NOTE. Katika set yetu ya camera mteja anatakiwa awe na screen tu pamoja na lain kwajili ya mobile view.

Karibuni sana tuifanye tanzania ya kitechnolojia
Tunapatika MAKUMBUSHO PAMOJA NA KINONDONI
CONTACT. 0689414015
 
OFFER CCTV CAMERA INSTALLATION
( 30% OFF)

emoji837.png

Safewaysecurity katika kuhakikisha kila mmja anapata huduma ya usalama na ulinzi kwa njia za kitechnolojia tunakuletea offer ya gharama zetu kwa punguzo la zaidi ya asilimia 30% ya gharama.
💥tunatoa huduma za aina 3 za camera ambazo ni.

✔Coloured camera.
Izi ni analogy camera ambazo hutoa rangi ya picha kwenye mwanga na black and white kwenye giza.
Gharama zake ni 260000 kwa kila kamera. Gharama izi zinajumuisha kila kitu katika set pamoja na ufundi.
✔colourVu camera
Hizi pia ni analogy camera ambazo hutoa rangi ya picha muda wote wakati wa mwanga na pia wakati wa giza.
Gharama zake 300000 kwa kila camera.
Gharama hii inacover kila kifaa katika set pamoja na ufundi.
✔IP camera
Izi ni internet protocal camera yani zinatumia mfumo wa networt internet kupokea data na kutoa picha.
Izi ni digital camera na gharama zake ni
330000 kwa kila camera. Gharama hii inahusisha kila kitu katika set.

NOTE. Katika set yetu ya camera mteja anatakiwa awe na screen tu pamoja na lain kwajili ya mobile view.

Karibuni sana tuifanye tanzania ya kitechnolojia
Tunapatika MAKUMBUSHO PAMOJA NA KINONDONI
CONTACT. 0689414015


20210812_083847.jpg
 
IMG_20210813_103114_309.jpg
OFFER CCTV CAMERA INSTALLATION
( 30% OFF)

emoji837.png


Safewaysecurity katika kuhakikisha kila mmja anapata huduma ya usalama na ulinzi kwa njia za kitechnolojia tunakuletea offer ya gharama zetu kwa punguzo la zaidi ya asilimia 30% ya gharama.
💥tunatoa huduma za aina 3 za camera ambazo ni.

✔Coloured camera.
Izi ni analogy camera ambazo hutoa rangi ya picha kwenye mwanga na black and white kwenye giza.
Gharama zake ni 260000 kwa kila kamera. Gharama izi zinajumuisha kila kitu katika set pamoja na ufundi.
✔colourVu camera
Hizi pia ni analogy camera ambazo hutoa rangi ya picha muda wote wakati wa mwanga na pia wakati wa giza.
Gharama zake 300000 kwa kila camera.
Gharama hii inacover kila kifaa katika set pamoja na ufundi.
✔IP camera
Izi ni internet protocal camera yani zinatumia mfumo wa networt internet kupokea data na kutoa picha.
Izi ni digital camera na gharama zake ni
330000 kwa kila camera. Gharama hii inahusisha kila kitu katika set.

NOTE. Katika set yetu ya camera mteja anatakiwa awe na screen tu pamoja na lain kwajili ya mobile view.

Karibuni sana tuifanye tanzania ya kitechnolojia
Tunapatika MAKUMBUSHO PAMOJA NA KINONDONI
CONTACT. 0689414015
 
View attachment 1890650OFFER CCTV CAMERA INSTALLATION
( 30% OFF)

emoji837.png


Safewaysecurity katika kuhakikisha kila mmja anapata huduma ya usalama na ulinzi kwa njia za kitechnolojia tunakuletea offer ya gharama zetu kwa punguzo la zaidi ya asilimia 30% ya gharama.
💥tunatoa huduma za aina 3 za camera ambazo ni.

✔Coloured camera.
Izi ni analogy camera ambazo hutoa rangi ya picha kwenye mwanga na black and white kwenye giza.
Gharama zake ni 260000 kwa kila kamera. Gharama izi zinajumuisha kila kitu katika set pamoja na ufundi.
✔colourVu camera
Hizi pia ni analogy camera ambazo hutoa rangi ya picha muda wote wakati wa mwanga na pia wakati wa giza.
Gharama zake 300000 kwa kila camera.
Gharama hii inacover kila kifaa katika set pamoja na ufundi.
✔IP camera
Izi ni internet protocal camera yani zinatumia mfumo wa networt internet kupokea data na kutoa picha.
Izi ni digital camera na gharama zake ni
330000 kwa kila camera. Gharama hii inahusisha kila kitu katika set.

NOTE. Katika set yetu ya camera mteja anatakiwa awe na screen tu pamoja na lain kwajili ya mobile view.

Karibuni sana tuifanye tanzania ya kitechnolojia
Tunapatika MAKUMBUSHO PAMOJA NA KINONDONI
CONTACT. 0689414015
View attachment 1890650OFFER CCTV CAMERA INSTALLATION
( 30% OFF)

emoji837.png


Safewaysecurity katika kuhakikisha kila mmja anapata huduma ya usalama na ulinzi kwa njia za kitechnolojia tunakuletea offer ya gharama zetu kwa punguzo la zaidi ya asilimia 30% ya gharama.
💥tunatoa huduma za aina 3 za camera ambazo ni.

✔Coloured camera.
Izi ni analogy camera ambazo hutoa rangi ya picha kwenye mwanga na black and white kwenye giza.
Gharama zake ni 260000 kwa kila kamera. Gharama izi zinajumuisha kila kitu katika set pamoja na ufundi.
✔colourVu camera
Hizi pia ni analogy camera ambazo hutoa rangi ya picha muda wote wakati wa mwanga na pia wakati wa giza.
Gharama zake 300000 kwa kila camera.
Gharama hii inacover kila kifaa katika set pamoja na ufundi.
✔IP camera
Izi ni internet protocal camera yani zinatumia mfumo wa networt internet kupokea data na kutoa picha.
Izi ni digital camera na gharama zake ni
330000 kwa kila camera. Gharama hii inahusisha kila kitu katika set.

NOTE. Katika set yetu ya camera mteja anatakiwa awe na screen tu pamoja na lain kwajili ya mobile view.

Karibuni sana tuifanye tanzania ya kitechnolojia
Tunapatika MAKUMBUSHO PAMOJA NA KINONDONI
CONTACT. 0689414015
Kwa hiyo nikitoa 260,000 munanifungia kamera moja
 
images (9).jpeg
OFFER (23,000/= kwa mita moja)

�ELECTRIC FENCE (UZIO WA UMEME)
.
�kwa huduma nzuri za kuwekewa ELECTRIC FENCE kwenye eneo lako skmquality ndiyo tutakaokufanikishia hii huduma.
.
�Fence hizi ni salama kwa matumizi yako na familia yako, lakini pia ni bora sana kwenye kuimarisha ulinzi wa eneo lako
.
� Gharama ya fence hii ni Tsh. 23,000/= tu kwa mita moja, ambapo itajumlisha gharama ya vifaa na ufundi
.
�Imarisha ulinzi na usalama wa eneo lako kwa kuweka electric fence, pia unaweza ukaweka na CCTV cameras ili kudhibiti kabisa uhalifu wa aina yoyote ile.
.
0715926927/0689414015
.
�Karibuni Ofisi zetu zipo Makumbusho/Kinondoni studio Bus stop.
 
Biometric Fingerprint registry attendence full access control system.

Up To 3,000, fingerprint.
100,000 records store.

Door switch button ×1
Door magnet sensor ×1
Temper-résistant switch ×1
Alarm input ×1

Price. 750,000
0689414015
images (5).jpeg
 
OFFER (23,000/= kwa mita moja)

�ELECTRIC FENCE (UZIO WA UMEME)
.
�kwa huduma nzuri za kuwekewa ELECTRIC FENCE kwenye eneo lako skmquality ndiyo tutakaokufanikishia hii huduma.
.
�Fence hizi ni salama kwa matumizi yako na familia yako, lakini pia ni bora sana kwenye kuimarisha ulinzi wa eneo lako
.
� Gharama ya fence hii ni Tsh. 23,000/= tu kwa mita moja, ambapo itajumlisha gharama ya vifaa na ufundi
.
�Imarisha ulinzi na usalama wa eneo lako kwa kuweka electric fence, pia unaweza ukaweka na CCTV cameras ili kudhibiti kabisa uhalifu wa aina yoyote ile.
.
0715926927/0689414015
.
�Karibuni Ofisi zetu zipo Makumbusho/Kinondoni studio Bus stop.
IMG_20210810_235249_325.jpg
 
Yani mie mwenye uwanja wa squire 1000 natakiwa niwe na 23M au sijaelewa??
Unamaanisha anatoa huduma kwa bei ya gharama kuzidi uhalisia au bei ni sahihi ila haukua ukijua gharama za kuweka uzio wa umeme?
 
Yani mie mwenye uwanja wa squire 1000 natakiwa niwe na 23M au sijaelewa??

Tofautisha eneo na mzingo. Electrical fence inazunguka ukuta wakati hizo square meter ni eneo lote la kiwanja.

Kama kiwanja chako kina 30m kwa 40m, jumla ya urefu itakua 140m. Hivyo gharama itakua 23,000×140= 3,220,000/=.
 
Yani mie mwenye uwanja wa squire 1000 natakiwa niwe na 23M au sijaelewa??
Hapana ndugu yangu electric fance wire inafungwa kwenye ukuta so hatupimi square meter bali tunapima mzingo wa ukuta au urefu wa kuta zako na pia gharama izo zinacover material na kila kitu katika kazi. So ukuta wa urefu wa 1000m ni mkubwa sana unaweza kuwa zaidi ya hekari 2 ambapo kwa gharama za 23m ukipiga hesabu za material yanayotumika utagundua bado ni gharama nafuu ndio mana tunasema ni offer.
 
Tofautisha eneo na mzingo. Electrical fence inazunguka ukuta wakati hizo square meter ni eneo lote la kiwanja.

Kama kiwanja chako kina 30m kwa 40m, jumla ya urefu itakua 140m. Hivyo gharama itakua 23,000×140= 3,220,000/=.
Asante sana kwa kunisaidia ndugu.
 
Swali moja mkuu, siku za karibuni wakulungwa na wajuba wanazikata au kuingia kwenye kuta zenye electrical fence, tatizo ni nini?
 
Swali moja mkuu, siku za karibuni wakulungwa na wajuba wanazikata au kuingia kwenye kuta zenye electrical fence, tatizo ni nini?
Another reason hizi system zikikaa sana zinweza kutengeneza energy fault au material yakiwa fake kama zile insulator zikipigwa sana jua zinachoka so kuna muda energy power inakuwa low so watu wanapenya tu tunashauri kufanya maintainence mara kwa mara angalau mara 1 kwa miezi 6.
 
Another reason hizi system zikikaa sana zinweza kutengeneza energy fault au material yakiwa fake kama zile insulator zikipigwa sana jua zinachoka so kuna muda energy power inakuwa low so watu wanapenya tu tunashauri kufanya maintainence mara kwa mara angalau mara 1 kwa miezi 6.

Hapo nimekupata mkuu. Tatizo kubwa itakua hapo kwenye preventive maintenance. Wengi hawafanyi.

Mnaweza kuitangaza hiyo kama huduma pia kwa wateja wenye huo mfumo tayari.
 
Hapo nimekupata mkuu. Tatizo kubwa itakua hapo kwenye preventive maintenance. Wengi hawafanyi.

Mnaweza kuitangaza hiyo kama huduma pia kwa wateja wenye huo mfumo tayari.
Asante kwa ushauri
 
Back
Top Bottom