Special thread: Ujinga ni?

Utakua Ujinga Kuendlea Na Mtandao Wa Mb 1 Wakat Kuna Mengne Unatumia Net Uxku Bure Ata Ukitaka Download Season Ya Jumong Au Merlin Had Kpnde Cha Mwisho
 
Ujinga ni kusema uendi kupiga kula araf unabishana kuhusu siasa ama kuongelea siasa
 
Utakua Ujinga Kuendlea Na Mtandao Wa Mb 1 Wakat Kuna Mengne Unatumia Net Uxku Bure Ata Ukitaka Download Season Ya Jumong Au Merlin Had Kpnde Cha Mwisho

ujinga ni kuandika kama wew hapo

Mwandiko mmbaya na x sijui ni lugha gani
 
Ujinga ni kuwafokea watoto kwakuwa hawana akili, wadokozi, wana viburi, wezi, waongo, walaghai, n.k Wakati ukijua wewe tangu uzaliwe umekuwa Mwana CCM unasahau kuwa watoto wamerithi tabia yako ya U-ccm!! ha ha haaaaaaaa aaah!
 
Ujinga ni kudharau wanywa viroba wakati wanachangia bajeti ya nchi.
 
Ujinga kusema hapa kazi tuu wakati huna hata ya kuomba omba
 
Kumshabikia magufuli wakati umejenga kando ya barabara
 
Ujinga ni kulalamika maisha magumu wakati hujishughulishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…