Special Thread: Utekelezaji wa ILANI ya CCM 2020-2025

Special Thread: Utekelezaji wa ILANI ya CCM 2020-2025

CM 1774858

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2021
Posts
5,621
Reaction score
5,029
IMG-20240723-WA0154.jpg

Habari Jamii forum

Nimeamua kuanzisha thread hii ambayo itakuwa ni ya muendelezo ,

Lengo la thread hii ni kuzipa nafasi idara mbalimbali za chama na Serikali kuuletea umma wa Watanzania utekelezaji wa Ilani ya CCM ya mwaka (2020 - 2025 ) chini ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan

Karibuni sana kwa Picha na Taarifa mbalimbali za utekelezaji wa Ilani toka maeneo na ngazi zote za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
View attachment 3078138
Habari Jamii forum

Nimeamua kuanzisha thread hii ambayo itakuwa ni ya muendelezo ,

Lengo la thread hii ni kuzipa nafasi idara mbalimbali za chama na Serikali kuuletea umma wa Watanzania utekelezaji wa Ilani ya CCM ya mwaka (2020 - 2025 ) chini ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan

Karibuni sana kwa Picha na Taarifa mbalimbali za utekelezaji wa Ilani toka maeneo na ngazi zote za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
UTEKAJI ULISAMBAA NAMNA HII HALAFU MNAONGELEA ILANI YA CCM !
 
Ilani Imeahidi, Kuimarisha Miundombinu ya Usafiri na Usafirishaji.

Rais Samia ametekeleza

Katika kipindi cha miaka 3 tangu Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameingia madarakani. jumla ya Miradi ya Barabara 74 zenye urefu wa Kilometa 3,794.1 zipo katika hatua mbalimbali za utekelezaji. Kati ya miradi ya barabara hizo 74, utekelezaji wa miradi 12 umefikia 70% au zaidi na miradi 62 utekelezaji wake upo chini ya 70%.




Follow the Chama Imara Na Samia channel on WhatsApp: Chama Imara Na Samia | WhatsApp-Kanal

#ChamaImaraNaSSH #MaendeleoYaWatu
#KiongoziMadhubuti
 
Back
Top Bottom