Doubleclick
Senior Member
- Apr 26, 2024
- 144
- 85
Ila Mama kafanya makubwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila Mama kafanya makubwa sana
VIVA CCM VIVÀ SAMIA VIVAView attachment 3078138
Habari Jamii forum
Nimeamua kuanzisha thread hii ambayo itakuwa ni ya muendelezo ,
Lengo la thread hii ni kuzipa nafasi idara mbalimbali za chama na Serikali kuuletea umma wa Watanzania utekelezaji wa Ilani ya CCM ya mwaka (2020 - 2025 ) chini ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan
Karibuni sana kwa Picha na Taarifa mbalimbali za utekelezaji wa Ilani toka maeneo na ngazi zote za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
🤣🤣🤣Ndugu tunaomba unità Mbishe wewe ni nani CCM ili tujue kwanza hizi Habari ni za uhakika Au laa.
Pili ili wakosoaji waweze kukosoa vyema na wakitekwa tujue ni mtu flan kutoka CCM.
Kama chawa hapo hatutaelewa kitu.
Mambo Gani?Mambo ni mengi sana
Nyumbu ndio akina nani?Post inaongelea juu ya Ilani ya uchaguzi; hili lako lilikuwa sehemu gani ya Ilani?
Hivi nyumbu huwa mna akili za namna gani?
Wafuasi wa chadema wanaitwa nyumbu, wale wa ccm wanaitwa chawa. Sisi tusio na chama tunaitwa Wazalendo.Nyumbu ndio akina nani?
Tuko pamojaKwenye hili nakuunga mkono,
Hongera Jf kwa hili
VIVA SAMIA VIVAView attachment 3078138
Habari Jamii forum
Nimeamua kuanzisha thread hii ambayo itakuwa ni ya muendelezo ,
Lengo la thread hii ni kuzipa nafasi idara mbalimbali za chama na Serikali kuuletea umma wa Watanzania utekelezaji wa Ilani ya CCM ya mwaka (2020 - 2025 ) chini ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan
Karibuni sana kwa Picha na Taarifa mbalimbali za utekelezaji wa Ilani toka maeneo na ngazi zote za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.