Man Mvua
JF-Expert Member
- Apr 12, 2016
- 2,183
- 3,521
Habarini Wandugu.
Naomba kusaidiana kupeana taarifa juu ya nyumba au vyumba vya kupanga kwa jiji la Dar es salaam.
Kuna nyumba itakuwa wazi kuanzia January 10 yenye:
- Vyumba 2 kimoja master
- Sitting room
- Kitchen
Na kodi inalipwa kuanzia miezi 2 na kuendelea. Nyumba ipo mivumoni ya Madale.
Pia anaehama anauza fridge kubwa na masofa.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kusaidiana kupeana taarifa juu ya nyumba au vyumba vya kupanga kwa jiji la Dar es salaam.
Kuna nyumba itakuwa wazi kuanzia January 10 yenye:
- Vyumba 2 kimoja master
- Sitting room
- Kitchen
Na kodi inalipwa kuanzia miezi 2 na kuendelea. Nyumba ipo mivumoni ya Madale.
Pia anaehama anauza fridge kubwa na masofa.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app