Special thread: Uzi wa kusaidiana kupata nyumba/vyumba vya kupanga bila kutumia madalali

CHUMBA CHA BIASHARA KINAPANGISHWA NJIA YA KMR BONYOKWA
KARIBU NA KAPELO PUB
60*000 KWA MWEZI
KODI KUANZIA MIEZI 3
IKO BARABARAN

VYUMBA VIWLI KARAKATA AIRPORT
50" 000 KWA MWEZI
HAINA GYPSUM
CHINI MARUMARU
MALIPO KUANZIA MIEZI 3NK..

#HAINA DALALI
CONT +255693-03-42-59

PICHA N FRAME ZA KIMARA
 

Attachments

  • Screenshot_20200217-183753.png
    156.1 KB · Views: 16
  • Screenshot_20200217-183730.png
    48.4 KB · Views: 15
Friza ft 4.4* *2.4
Jaza GESI UNAONDOKA NALO
YAKO MAWILI moja linahitaji kuzungusha China UNAONDOKA NALO
350" 000
Tankibovu

0693-03-42-59
0
 
Kiwanja na NYUMBA aijamalizika
45m
Mnunuzi ANAFANYA transfer mwenyewe
HATI IPO
VIKO viwanja viwili kwapamoja 110m
52*40
Kimoja chenye hii NYUMBA 45 m
VYUMBA 3 sebule choo...store dining KUBWA na MOJA master chumba
Mahalii MBWENI MASITE
IKO BARABARANI DK

CONT 0693-03-42-49

NAONA dksitaa TOKA KWENYE lami
Hainaa dalaliii
 
unauza boma na kiwanja siyo nyumba
 
Viwanja vipo Dar es Salaam Kigamboni mwembe mdogo karibia na chuo cha Kigamboni College of Health and Allied Science,kwa bei nzur na viwanja vimeshapimwa vipo katika michakato ya hati

mita 35*35
Bei Mil 5.5

Heka (mita 105) kwa milion 15 badala ya milion 16 na laki 5

Karibu sana ndugu zangu


 
Naufufua uzi nahitahji chumba madale sehemi iso wapangaji wengi maji yawepo kwa elfyu 30-40 pawe karibu na barabara walau dakika 10. Mwenye nacho tafadhali.
 
Naufufua uzi nahitahji chumba madale sehemi iso wapangaji wengi maji yawepo kwa elfyu 30-40 pawe karibu na barabara walau dakika 10. Mwenye nacho tafadhali.
Nenda Flamingo kuna Madalali wengi pale,dakika 2 tu unapata Chumba
 
Kuna sehemu hii Tanzania Kuna upungufu mkubwa wa NYUMBA za kupanga.Siku ya tatu Leo dogo anatafuta chumba Kharumwa Geita yaani hamna madalali,hamna vyumba LAKINi guest house zipo Kila baada ya MITA 59
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…