Special Thread; Viatu Tu

osmaney

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2017
Posts
1,042
Reaction score
998
Habari wanaJf..

Poleni na harakati, hongereni pia kwa utaftaji.

Mungu awajalie katika harakati zenu pia. Haswa harakati ambazo ni halali.

LENGO LA UZI; Ni kwajili ya Viatu tu, napo ni pande zote wanaume na wanawake

Vyovyote vile unaeza kukichambua kiatu kwanamba uwezavyo, cha msingi ni ustaarabu Tu.

Vilevile mtu akivutiwa na kiatu unaeza mpa taarifa sahihi ya kiatu hicho. Mfano ubora wa kiatu hicho,upatikanaji wake na hata bei yake

Karibu Sana tuzungumze kuhusu Viatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…