osmaney JF-Expert Member Joined Jan 18, 2017 Posts 1,042 Reaction score 998 Jun 12, 2020 #1 Habari wanaJf.. Poleni na harakati, hongereni pia kwa utaftaji. Mungu awajalie katika harakati zenu pia. Haswa harakati ambazo ni halali. LENGO LA UZI; Ni kwajili ya Viatu tu, napo ni pande zote wanaume na wanawake Vyovyote vile unaeza kukichambua kiatu kwanamba uwezavyo, cha msingi ni ustaarabu Tu. Vilevile mtu akivutiwa na kiatu unaeza mpa taarifa sahihi ya kiatu hicho. Mfano ubora wa kiatu hicho,upatikanaji wake na hata bei yake Karibu Sana tuzungumze kuhusu Viatu
Habari wanaJf.. Poleni na harakati, hongereni pia kwa utaftaji. Mungu awajalie katika harakati zenu pia. Haswa harakati ambazo ni halali. LENGO LA UZI; Ni kwajili ya Viatu tu, napo ni pande zote wanaume na wanawake Vyovyote vile unaeza kukichambua kiatu kwanamba uwezavyo, cha msingi ni ustaarabu Tu. Vilevile mtu akivutiwa na kiatu unaeza mpa taarifa sahihi ya kiatu hicho. Mfano ubora wa kiatu hicho,upatikanaji wake na hata bei yake Karibu Sana tuzungumze kuhusu Viatu
Husninyo JF-Expert Member Joined Oct 24, 2010 Posts 23,851 Reaction score 9,472 Jun 12, 2020 #2 Nasubiria uzi unaohusu chupi tu....
osmaney JF-Expert Member Joined Jan 18, 2017 Posts 1,042 Reaction score 998 Jun 12, 2020 Thread starter #4 Husninyo said: Nasubiria uzi unaohusu chupi tu.... Click to expand... Unakuja mkuu.. we uwe unapita uku mara kwa mara.
Husninyo said: Nasubiria uzi unaohusu chupi tu.... Click to expand... Unakuja mkuu.. we uwe unapita uku mara kwa mara.
osmaney JF-Expert Member Joined Jan 18, 2017 Posts 1,042 Reaction score 998 Jun 12, 2020 Thread starter #5 runna said: ANTA View attachment 1476402 Click to expand... Kinaonekana kipo strong sana
runna JF-Expert Member Joined Sep 6, 2014 Posts 343 Reaction score 791 Jun 12, 2020 #6 osmaney said: Kinaonekana kipo strong sana Click to expand... Butii nomaa...Pori kwa Porii
osmaney JF-Expert Member Joined Jan 18, 2017 Posts 1,042 Reaction score 998 Jun 12, 2020 Thread starter #7 runna said: Butii nomaa...Pori kwa Porii Click to expand... Nadhani ni vizuri watu wakaviiga hvyo.. mambo yakwendea Pori Viatu vya ajabu waache
runna said: Butii nomaa...Pori kwa Porii Click to expand... Nadhani ni vizuri watu wakaviiga hvyo.. mambo yakwendea Pori Viatu vya ajabu waache
fundi bishoo JF-Expert Member Joined Jun 26, 2018 Posts 14,264 Reaction score 27,132 Jun 12, 2020 #8 Hizoooo