Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Kherson itaondoka ila si leo, inabidi Ukraine ijipange haswaa
Kinachochelewesha ni Russian kutumia Nuclear plant kama ngao yake. Mashambulizi makubwa anayofanya russia ni kutoka direction ya nuclear plant. Anajua Ukraine haiwezi ikarusha makombora direction hiyo.

Namna rahisi ni kuwazunguka kutokea direction ya Mariupol kuja Kherson. Hicho ndo wanachokifanya Ukraine. Wakiona wamezungukwa lazima watakimbilia Crimea.
 
Don't underate the ability of the Russian force
If Russian forces have ability to beat Ukraine, why are they backed from Kyiv to Kupiansk.

Izyum was a strategic position for Russian for Kherkiv, Luhansk and Donetsk. But due to Ukrainian forces fighting ability to counter, they managed to expel them.

Therefore, kherson will be back after Donbas is regained by ukrainian forces.
 
Oya hii vita sio ya kuisha leo wazungu naona wamemuamulia putin. Mana mipango haiishi ndio kwanza watu wanaanza kufunguka.
West bhana wakipanga lao lazima litatimia tu. Yan hapo Urusi akikaza fuvu inaweza pigwa mbungi miaka. Jamaa kazi yao ni kutrain, kutoa intelligence, silaha na misaada tu alafu wanakula upepo kuangalia ndondi
 
Biden amchimba Putin mkwara mzito kuwa asijaribu kutumia silaha a Nyukilia au kemikali huko Ukraine

View attachment 2359592
Yap! Aisee; inapendeza sana mtindo wa kula na kulipa - Putin alitishia Westerners eti wasijaribu hata kidogo kuingilia vita ya Russia vs Ukraine. Atakayethubutu atakiona cha mtema kuni. Westerners wakampuuzia na wakaingia na tayari wameshamkamatia Putin chini. Sasa Westerners wanamkoromea rais Putin kama litoto lijinga na wanamwonya (sio wanamwambia bali hilo ni katazo) asithubutu au kujaribu kutumia Nuks au Kemikali huko Ukraine. Je, atakaidi kama alivyokaidi ushauri wa kuacha vita?
Kuna mahali zipo taarifa kwamba Mrussi silaha yake ya nuklia (endapo ataitumia) ni analog na inauwezo wa kufika Washington-Marekani ndani ya dk.25 lakini Marekani silaha yake ya nuklia ni Digital (endapo ataitumia) ni ndani ya dk 15 tu itakuwa imetua Kremlin - Russia. Yaani Mrusi akiingia kwenye chumba cha ku-press ON nuklia yake kabla hajatoka nje ya chumba hicho; Nuklia ya Marekani itakuwa imeshatua hapo.
Tumwombe sana Mungu atuepushie janga hilo la maamuzi magumu kwani rais Biden naye si haba.
Mbona kama frontline iko mbali sana na Melitopol. It will take time to get there.
A-Aah. Wewe waambie tu. Mengine waachie wenyewe halafu ww usikilizie mziki wake.
 
At this juncture, Russia has no ability to resist Ukrainian momentum.
That is the truth although painful - Russian forces will be expelled out soonest from all annexed territories.
 
Kutokea direction ipi. Kuifikia Melitopol itachukia muda sana na inahitajika counter offensive hatari kama ya Izyum ndo ufike ndani ya hizo siku 2. It will take time.
Weye Amini alichokisema kwani mahesabu yake anayajua mwenyewe na labda kwa sasa ni siri kusema ni kutokea direction ipi. Ww subiri uone.
 
Ukraine have limited capacity tu perform counteroffensive at the same time defending Russia from going forward to the areas which are not yet taken . there fore if Ukrainian wish to win this war they must receive sophisticated weapon,,and the number of troops must be added significantly to the Frontline
 
.....And this is what is taking place now.
 
It's not .. Ukraine are outnumbered by Russian troops in everything
But having large numbers of troops and weaponry does not assure you victory. What matters a lot is how competent you are and the efficiency to make use of what u have.
 
I can see, you lack millitary skills and war tactical know how. I thought you have good reasons to defend your case.
 
I can see, you lack millitary skills and war tactical know how. I thought you have good reasons to defend your case.
Russia have not even started.the worse are yet to come
Vladimir Putin
analytics suggest that has used only 15 percent of his military potential
 
I can see, you lack millitary skills and war tactical know how. I thought you have good reasons to defend your case.
Yeah; this guy seems to think and believe "One man-one enemy" is what matters in the combat zone. He is not informed of the technical know how, agility and morale are the basic determinant factors in winning a victory in war.
e.g. Lets say both of you having the same type of gun say AK47 and you have received the same and equal military training but one is sluggish and not motivated i.e. not agile. The result is that the sluggish soldier will succumb the circumstances -Be killed easily.
 
Russia have not even started.the worse are yet to come
Vladimir Putin
analytics suggest that has used only 15 percent of his military potential
When, where and How is he going to use the remaining 85% ??? Bro; come up and visualize the real situation in which ur Putin is in at the moment.
 
When, where and How is he going to use the remaining 85% ??? Bro; come up and visualize the real situation in which ur Putin is in at the moment.
The entire Donbass is already Russian , Kherson and strategic zaphoriphizia are now Russian , Crimea is no longer a topic to be discussed,..the initial goal is already accomplished..
The second goal is to denazify and occupy the whole black sea coast so that there will be no more Ukraine navy. And this is going to plan
 
Russia have not even started.the worse are yet to come
Vladimir Putin
analytics suggest that has used only 15 percent of his military potential
Can you prove to us with evidence rather than blaa blaa.
 
And this is just an operation,, when the war is decralared ,,,the Ukraine will be in serious trouble .and the serious consequences may encounter the Kyiv regime..so people don't underate the Russian potential
 
And this is just an operation,, when the war is decralared ,,,the Ukraine will be in serious trouble .and the serious consequences may encounter the Kyiv regime..so people don't underate the Russian potential
Bro; get out of ur box. Read some news from other reliable sources . Your Putin is trying hard
to push forward Agenda for Truce with Ukraine.(read Reuters, Aljazeera)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…