figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #10,141
Mkuu; Hebu tumegee kidogo updates ya kilichotokea. Jamaa ka-surender auPUTIN KAWEKA MPIRA KWAPANI. MAJI YAMEMFIKA SHINGONI. NILIJUA KWA SILAHA HIZI HATOBOI
Jamaa ameomba tuache kuwapelekea moto ili Sherehe za Christmas zipite. Yeye kule anajipanga kivita, huku anataka tupumzike. Hii bora mapambano yaendelee..Mkuu; Hebu tumegee kidogo updates ya kilichotokea. Jamaa ka-surender au
Slava Ukraine [emoji1255]PUTIN KAWEKA MPIRA KWAPANI. MAJI YAMEMFIKA SHINGONI. NILIJUA KWA SILAHA HIZI HATOBOI
Slava Ukraine [emoji1255]Mlinzi wa Mpakani mwa Ukraine na Urusi akawaonesha Wananchi wa Urusi kwamba atakayevuka hapa tunakata shingo
View attachment 2471083
Kumbe! Mbona hiyo ni mbinu dhaifu? Kazi ni mbele kwa mbele hakuna kulala mpaka kieleweke. Slava UkraineJamaa ameomba tuache kuwapelekea moto ili Sherehe za Christmas zipite. Yeye kule anajipanga kivita, huku anataka tupumzike. Hii bora mapambano yaendelee..
Hatuwapi nafasi ya kupua.
Dah! Huu ubunifu huu; kukoki silaha kumbe inaweza kuwa ni sehemu ya muziki. Mrussi atashangaa kwani muziki huo ni kitwangio kwake. 😀 😀 😀
Slava Ukraine [emoji1255]Frontline maisha lazima yaendelee
View attachment 2472543
Slava Ukraine [emoji1255]Hivi Urusi inapo poteza hivi, wana waambia nini wananchi wao?
View attachment 2472544
Mbona Soledar na Bakhmuts'ke, Russia wameshaichukua tangu 22/12/2022. Mpaka juzi 06/01/2023 nusu ya eneo la mgodi wa chumvi walikuwa wameshaichukua Russia.Soledar huko Bakhmut, kuna baridi kali, lakini wanajeshi wa Ukraine hawayaachii malindo yao. Wanakomaa Frontline kiasi kwamba Mrusi hasogei
View attachment 2473628
Sehemu zote hizo ni uwanja wa mapambano. Hakuna mtu alojitangazia ushindi. Ninachofurahia ni Urusi wanakufa kama sisimizi.Mbona Soledar na Bakhmuts'ke, Russia wameshaichukua tangu 22/12/2022. Mpaka juzi 06/01/2023 nusu ya eneo la mgodi wa chumvi walikuwa wameshaichukua Russia.
Kiufupi direction ya Bakhmut, Russia kuna maeneo mengi wame advance na kuna mitaa ya mjini Bakhmut iko kwenye control ya Russia forces e.g. Fedora street.
Let us hope Ukraine itapata mapema vifaa vizito kama Bradley ili kuwafurusha Russia Bakhmut. Ukweli hali ni ngumu Bakhmut.
Wahenga walisema "Mtu chake" Mrussi naye akatafute chake aache kung'ang'ania vya wenzake - Hana adabu kibisa. 😳Soledar huko Bakhmut, kuna baridi kali, lakini wanajeshi wa Ukraine hawayaachii malindo yao. Wanakomaa Frontline kiasi kwamba Mrusi hasogei
View attachment 2473628