Slava Ukraine [emoji1255]
SAFIIIUkraine wameteka Silaha ya Ulinzi wa anga aina ya S-300 ya Urusi.
View attachment 2468850
Duh..Sikiliza fuvu la Mrusi linavyolia🤣🤣🤣
View attachment 2483907
Duu imekosa target kidogo, wana bahati wangeteketea.
System iko slow sijui kwa nini. Sidhani kama wanaweza kufanya hivo.Mbona napata shida kuupload video huku, au moderators wameanza kuuwekea restrictions huu uzi?
Mzee wa jagajagaaa anajua kuwakaanga warusi. Hajabakiza hata mmoja wa kwenda kutoa salamu. 😂😂😂Jagajagaaaa
View attachment 2483908
Kweli mrusi anateseka. Kama ni kisago anakipata. Nawasifu warusi kwa mbio akitimuka kama swala vile 😂😂😂Warusi watajuta kuingia Soledar mjini. Sasa hivi wamegeuka easy target ndani ya magofu wanayoingia!. Cheki hapa chini walivyokaangwa!
View attachment 2484051
Ukileta masihara wanafumua fuvu. Hata ukipewa mavi ule lazima utakula tu.😂😂😂Urusi wakidakwa wanakuwa wapole kama piriton
View attachment 2483595
Nadhani itakuwa ni shida pia kujua kama kweli hapo palikuwa na watu - manake Huyo Mzee Babraaa, Bartakuum hajabakisha walau hata kithibiti hapo 😀 😀 😀Mzee wa jagajagaaa anajua kuwakaanga warusi. Hajabakiza hata mmoja wa kwenda kutoa salamu. 😂😂😂
Naongezea tu mkuu: TENA HARAKA SANA - FASTA.Ukileta masihara wanafumua fuvu. Hata ukipewa mavi ule lazima utakula tu.😂😂😂
Aisee! Dah! Wabongo ni watu wa ajabu sana. Hivi ni wewe tu unayefahamu hivyo au ni wewe na wenzio wa aina yako mnaofahamu hivyo???Hivi si vita baina ya Urusi na Ukraine. Ni vita baina ya Urusi na NATO. Kuna wanajeshi wengi kutoka nchi za NATO wanapigana huko Ukraine pamoja na silaha zao nzito kama Patriots. Mwaka mmoja tangu kuanza vita je NATO imeshinda? Je Urusu imesurrender? Tuanze hapo kwanza
Ilo unafahamu wewe sisi tunafahamu ni kati ya mrusi na m-ukraine... Acha warusi wafe tukateke mademu wa bwelele huko RussiaHivi si vita baina ya Urusi na Ukraine. Ni vita baina ya Urusi na NATO. Kuna wanajeshi wengi kutoka nchi za NATO wanapigana huko Ukraine pamoja na silaha zao nzito kama Patriots. Mwaka mmoja tangu kuanza vita je NATO imeshinda? Je Urusu imesurrender? Tuanze hapo kwanza
Kha-Kha-Khaa! Oiyeyai!! Huyo mzee wa Jagajagaaa leo kaamka vibaya. Kapondaponda na kuwageuza kama kisamvu kabisa. Inaonekana yumkini alikuwa na usongo nao siku nyingi.Cheki kikosi cha mizinga cha Ukeaine kinavyopiga maghala ya Silaha ya Wagner na askari wake huko Soledar
View attachment 2485311
Ukraine walianza na Mungu na watamaliza kwa mafanikio kwa uweza wa Mungu - Amina.