figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #11,781
Safi kabisa. Vichwa vimepasuliwa kwa ustawi mkubwa.Angalia Warusi wanavyo shikishwa adabu. Wanajuta kuivamia Ukriane
View attachment 2539852
Ujerumani.. Akitoka hapo ni Poland then Ukraina.Wasije wakauona warusi wakautamani. Mzigo kama huo unahitaji ulinzi mkali sana. Umefika nchi gani
Rip Soldier!!!Tumempoteza Muuguzi na mpambanaji Yana Rykhlitska, huko Frontline ya Bakhmut. Apumzike kwa amani
View attachment 2538709
Niliiona daily mail hii habar ya huyu askar wa Ukraine inasikitisha sana
Daah hatar sana hii, binafsi Kila nikiingia kuperuz vyombo vya habar vya magharibi naishia kusononeka tu maana vingi vinaripoti kushindwa kwa jeshi la Ukraine huko Bakhmut na inasemekana north,south, East imezingirwa route iliyobaku ni West tu sasa kama wataendelea kukomaa sijui itakuwajeZelensky awaambia Waukraine kuwa, Kwenye kikao cha juu cha masuala ya ulinzi wa nchi, amepata ushauri wa Wakuu wa jeshi la Ukraine asiondoe majeshi Bakhmut bali waendelee kupambana.
View attachment 2539902
Hivi ni kweli huyo ni askari wa Ukraine? Mbona mm naona kama ni askari jeuri wa Urusi aliyeshindwa kutii amri aliyokuwa anapewa na badala yake akaanza kubwabaja maneno ya kuisifia Ukraine(Glory to Ukraine...)kana kwamba ni ajabu kwa askari wa Ukraine wameweza kumfikia na hivyo anawapa utukufu badala ya kutii amri aliyopewa? Kwa hali hiyo askari wa Ukraine aliyekuwa anajibizana naye akaona huu ni ujinga au ni mbinu ya ku-buy time ili kitu fulani kitokee. Askari wa Ukraine fasta akampa stahili yake.Niliiona daily mail hii habar ya huyu askar wa Ukraine inasikitisha sana
Chombo gani kimeripoti kuwa Ukraine imeshindwa Bakhmut.Daah hatar sana hii, binafsi Kila nikiingia kuperuz vyombo vya habar vya magharibi naishia kusononeka tu maana vingi vinaripoti kushindwa kwa jeshi la Ukraine huko Bakhmut na inasemekana north,south, East imezingirwa route iliyobaku ni West tu sasa kama wataendelea kukomaa sijui itakuwaje
Ni askari wa Ukraine kafanyiwa unyama huo na Russian soldiers.Hivi ni kweli huyo ni askari wa Ukraine? Mbona mm naona kama ni askari jeuri wa Urusi aliyeshindwa kutii amri aliyokuwa anapewa na badala yake akaanza kubwabaja maneno ya kuisifia Ukraine(Glory to Ukraine...)kana kwamba ni ajabu kwa askari wa Ukraine wameweza kumfikia na hivyo anawapa utukufu badala ya kutii amri aliyopewa? Kwa hali hiyo askari wa Ukraine aliyekuwa anajibizana naye akaona huu ni ujinga au ni mbinu ya ku-buy time ili kitu fulani kitokee. Askari wa Ukraine fasta akampa stahili yake.
Yan unamsifia adui yako eti ataghafilika akuache. 😳 Mbinu ya sungura na fisi.
Kama madai yako yana ukweli hebu tujibu maswali haya.Rip Soldier!!!
Bakhmut Hali ni mbaya sana kwa Majeshi ya Ukraine
Mzigo wa Ukraine huu. Hapa ni Ujerumani
View attachment 2539550
Panzermörser M113 mortars ya Lithuania ikiwa kazini Ukraine
View attachment 2539576
Ukikamatwa na Azov lazima upate tabu kidogo hata wakikufanya mfungwa wa kivita
View attachment 2539640
Hakuna kukimbia
View attachment 2539719
Wagners walipotea wakaangukia mikononi mwa Troop Forces
View attachment 2539722
Mtu kapigwa na chemical weapons. Walijua wao Urusi ndo wana chemical tu. Urusi watapata tabu sana
View attachment 2539851