Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi
Hapa ni Afipsky Refinery, Krasnodar Nchini Urusi
Hapa ni Shebekino Mkoani Belgorod Nchini Russia.
Warusi wamegeuzwa mbolea ya Ukraine
figganigga huu ukimya sio wa kawaida kunani ? Au ndio tusubiri mshindo mkuu maana nasikia Ukraine kasha anza spring offensive.
Baada ya Warusi kukimbia na kujificha kwenye handaki bila kujua Drone inawafuatikia. Dereva wa kifaru akasema hakuna haja ya kuharibu risasi, nitawafukia wote