Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Miye wa jambiani shekhe, kiembe wanakaa kina mkojaniMzee baba kumbe wewe ni kina Makame wa huko Jambiani na kiembe samani? [emoji2][emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miye wa jambiani shekhe, kiembe wanakaa kina mkojaniMzee baba kumbe wewe ni kina Makame wa huko Jambiani na kiembe samani? [emoji2][emoji2]
🤣🤣🤣🤣🤣 Bashasha ndio mwake sheikhOoooooh..... Au ukivalia kanzu warembo wanakusalimia kwa bashasha. 😀😀😀😀😀
Unazijua Busara wewe ? Mtoto shetani nini. Wahi uripoti kambini ufyatue tofali nyumbani unasubiri nini ?😎😎😎😎😎 Ahsante mzee wangu ila uwe na busara uache kutukana tukana.
Kijana vipi, sikuelewi anko gani huyo??dronedrake uneonaaa?
Tunamfunza adabu huyu mzee wetu hapendi kutagiwa. 😄😄😄😄😅 😅 😅
Fala wewe 😄😄😄😄Unazijua Busara wewe ? Mtoto shetani nini. Wahi uripoti kambini ufyatue tofali nyumbani unasubiri nini ?
Saa 8 za usiku unachati nyie ndio mnaiba mkataba wa bandari. 😄😄😄Tunamfunza adabu huyu mzee wetu hapendi kutagiwa. 😄😄😄😄
mnajuana kumbeTunamfunza adabu huyu mzee wetu hapendi kutagiwa. 😄😄😄😄
😄😄😄😄😄 Huyu mzee ni Sargent kambi makutupora, me ni brigadier general kambi ya oljoro. 😄😄😄mnajuana kumbe
mambo ya kambini yanakujaje ?
na kuzo wake ni Joe Navarro😄😄😄😄😄 Huyu mzee ni Sargent kambi makutupora, me ni brigadier general kambi ya oljoro. 😄😄😄
Huyo kuzo ni lieutenant canal. 😄😄😄na kuzo wake ni Joe Navarro
na wamefanana kweliHuyo kuzo ni lieutenant canal. 😄😄😄
na wamefanana kweli
na akili zao zinafanana pia
na akili zao zinafanana pia
uwatag kwenye ujinga ujinga lazima wakiwashe
Wanatamani wapewe uadmin watupe banna akili zao zinafanana pia
uwatag kwenye ujinga ujinga lazima wakiwashe
natamani kuwa uyo mzee hapo, anafaidi sana
huyo anko ndiyo hana nsalia ntume kabisaWanatamani wapewe uadmin watupe ban