Special thread: Wapenda vinywaji visivyo na kilevi (non alcoholic) na changamoto wanazokutana nazo wakikaa na walevi

Special thread: Wapenda vinywaji visivyo na kilevi (non alcoholic) na changamoto wanazokutana nazo wakikaa na walevi

Yote sawa ila kibaya ni pale round inapita wanataka na ww upitishe round. Kuna siku nimepitisha round elf 18000 wakt mm natumia maji tu. Nikaona huu ujinga sasa ilibidi nisogeze kiti mbele nikasema mim nimekuja kuangalia game
 
Acha uongo mshipa wasiopenda kilevi ulevi wao sana upo chini sio kidogo ni sanaaa
[emoji1] [emoji1] [emoji1]basi mimi nitakuwa nipo tofauti kidogo. Napenda ndio lakini sio saana kama unavyosisitiza
 
Yote sawa ila kibaya ni pale round inapita wanataka na ww upitishe round. Kuna siku nimepitisha round elf 18000 wakt mm natumia maji tu. Nikaona huu ujinga sasa ilibidi nisogeze kiti mbele nikasema mim nimekuja kuangalia game
walikuwa wanakuchuna aiseee khaaa
 
TANGAZO ,TANGAZO, TANGAZO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
UONGOZI WA TEMBE'S NURSERY & PRIMARY SCHOOL ,INAWATANGAZIA NAFASI ZA MASOMO KAMA IFUATAVYO:
1. MASOMO KWA WA WATOTO WADOGO KUANZIA UMRI WA MIAKA 3-14 NA KUENDELEA
2.
 

Attachments

  • IMG_20180121_174044.jpg
    IMG_20180121_174044.jpg
    149.1 KB · Views: 23
  • IMG_20180121_174105.jpg
    IMG_20180121_174105.jpg
    122.5 KB · Views: 21
  • IMG_20180106_133839.jpg
    IMG_20180106_133839.jpg
    196.1 KB · Views: 25
Bora maneno ya walevi, nilishawahi kutelekezwa na malaya wa bar kisa sikutumia kilevi hivyo akahofia nitamsugua sana.
Huwa wanapenda walevi kwakuwa wanapiga kimoko halafu chali hadi asubuhi.
 
Vilevi VINAOZESHA AKILI. Kabla hajalewa maneno matamu akilewa matusi debe na kujikojolea. Hata Mungu asingekataza NATURALLY POMBE MBAYA NA HAIFAI. PERIOD
 
Back
Top Bottom