Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

f1c657da6bf2a74c3fcf232081cda59d.jpg
4fbe688f2c33cba0995481841a7de414.jpg
....LG LED inch 32..bei 450000
Hii haiwezi kuwa og mkuu, kuwa mwaminifu
 
wew ujui item napata wapi mkuu so usiwe unatoa kauli km hizo..hizo tv nimeshauza zote na model [emoji116] hizo tafuta duka zote east africa model hizo km utapata call me 0629565168
12b5d489a30d21bbc02327258ddf3a40.jpg
4bf7a3afe8535ba9f6ab1094d737752a.jpg
Huyo kashazoea kupigwa, anadhani akiuziwa ghali tu basi ishakua og, hata kama ni feki ukimuuzia bei baas kasharidhika
 
wew ujui item napata wapi mkuu so usiwe unatoa kauli km hizo..hizo tv nimeshauza zote na model [emoji116] hizo tafuta duka zote east africa model hizo km utapata call me 0629565168
12b5d489a30d21bbc02327258ddf3a40.jpg
4bf7a3afe8535ba9f6ab1094d737752a.jpg
Nikiiona live og naijua, bt bei zake sio chini ya kilo tano. Hyo yako inatofauti yoyote na normally lg?
 
Nikiiona live og naijua, bt bei zake sio chini ya kilo tano. Hyo yako inatofauti yoyote na normally lg?
sio yangu tena nimeshauza mkuu pia punguza ujuaji wakati aujui kitu...nimekupa model ugoogle..unakomalia bei item OG aipimwi kwa bei mkuu..pia hio tabia ya kuwatoa watu uaminifu na kudis item ambazo uzijui acha hizo tabia
 
sio yangu tena nimeshauza mkuu pia punguza ujuaji wakati aujui kitu...nimekupa model ugoogle..unakomalia bei item OG aipimwi kwa bei mkuu..pia hio tabia ya kuwatoa watu uaminifu na kudis item ambazo uzijui acha hizo tabia
Hamna noma mkuu
 
Back
Top Bottom