hapakazit
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 839
- 663
Uko wap mm nko mby tufanye biasharaunataka bland gani mkuu? or njoo whtsapp 0629565168...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko wap mm nko mby tufanye biasharaunataka bland gani mkuu? or njoo whtsapp 0629565168...
unataka bland gani mkuu? or njoo whtsapp 0629565168...
utapataSumsung au LG mkuu
Hii haiwezi kuwa og mkuu, kuwa mwaminifu
....LG LED inch 32..bei 450000![]()
Haina duka liko wapi ili nije kesho jioniutapata
[emoji1] [emoji2] duh umetokea wapi mkuu...? niambie tunatambuaje km ni OG au Fake?Hii haiwezi kuwa og mkuu, kuwa mwaminifu
kigambino kibugumo...nicheck 0629565168Haina duka liko wapi ili nije kesho jioni
[emoji1] hyo price kwa lg nch32 og bado sana[emoji1] [emoji2] duh umetokea wapi mkuu...? niambie tunatambuaje km ni OG au Fake?
Haina noma kesho naja ila naamini ni kigamboni.kigambino kibugumo...nicheck 0629565168
wew ujui item napata wapi mkuu so usiwe unatoa kauli km hizo..hizo tv nimeshauza zote na model [emoji116] hizo tafuta duka zote east africa model hizo km utapata call me 0629565168[emoji1] hyo price kwa lg nch32 og bado sana
[emoji1] hyo price kwa lg nch32 og bado sana
Huyo kashazoea kupigwa, anadhani akiuziwa ghali tu basi ishakua og, hata kama ni feki ukimuuzia bei baas kasharidhikawew ujui item napata wapi mkuu so usiwe unatoa kauli km hizo..hizo tv nimeshauza zote na model [emoji116] hizo tafuta duka zote east africa model hizo km utapata call me 0629565168![]()
![]()
Nikiiona live og naijua, bt bei zake sio chini ya kilo tano. Hyo yako inatofauti yoyote na normally lg?wew ujui item napata wapi mkuu so usiwe unatoa kauli km hizo..hizo tv nimeshauza zote na model [emoji116] hizo tafuta duka zote east africa model hizo km utapata call me 0629565168![]()
![]()
sio yangu tena nimeshauza mkuu pia punguza ujuaji wakati aujui kitu...nimekupa model ugoogle..unakomalia bei item OG aipimwi kwa bei mkuu..pia hio tabia ya kuwatoa watu uaminifu na kudis item ambazo uzijui acha hizo tabiaNikiiona live og naijua, bt bei zake sio chini ya kilo tano. Hyo yako inatofauti yoyote na normally lg?
binadmu tupo tofaut sana mkuu yanii utoke unapotoka uanze kumpakazia mtu uaminifu wake na item zake kwa ubinafsi wako tu aisee hatari sanaHuyo kashazoea kupigwa, anadhani akiuziwa ghali tu basi ishakua og, hata kama ni feki ukimuuzia bei baas kasharidhika
Hamna noma mkuusio yangu tena nimeshauza mkuu pia punguza ujuaji wakati aujui kitu...nimekupa model ugoogle..unakomalia bei item OG aipimwi kwa bei mkuu..pia hio tabia ya kuwatoa watu uaminifu na kudis item ambazo uzijui acha hizo tabia
Chief hii ni model gani ya Sony? Ni mpya ili tufunge mahesabu...Sony inch 32 smart tv...bei 600000![]()