VICTOR_ONLINE_ELECTRONICS
New Member
- Mar 4, 2018
- 4
- 1
Nashkuru sanaKaribu mkuu tunakuitaji zaid humu ndani
Ongeza 80 iwe 480knajitaj smart tv npo mwanza bajet lak 4
Masasi street KariakooUko wapiiii
Unapatikana wapi?....full hd, triple tuner, 3d smart tv....Philips inch 42...bei 600000 ( upande wa kushoto juu imemeguka kidogo wakati inashushwa ktk kontena iliteleza coz ni kioo kitupu ktk body yake ya pembeni)
Kwanini labda ukaamua kununua hiyo na si brand nyengn kama samsung, lg, sony au hata phillipsNHabari wana Jf, nataka ninunue homebase flat tv nch 32, nahitaj ushauri wa haraka.
Mkuu hii TV MODEL hii ni kiasi gani inaendaKwanini labda ukaamua kununua hiyo na si brand nyengn kama samsung, lg, sony au hata phillips
Samsung 32" yoyote kwa sasa hatunaMkuu hii TV MODEL hii ni kiasi gani inaenda
-Samsung UN32J6300 1080p
Unaweza kuifikisha nilipo mkuu nipo kilwaMkuu 450000
Naweza mkuu, 0777650286 & 0718919725Unaweza kuifikisha nilipo mkuu nipo kilwa
450,000 vp mkuu?....LG LED TV INCH 32...DC UMEME INAWEZA KUWAKA HATA KTK SOLAR YENYE INVETA...NEW MODEL 2017 BEI 500000