Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 15,328
- 11,192
Nami swali langu ni hilo hiloSamsung LED 32" mpya nitapata kwa bei gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nami swali langu ni hilo hiloSamsung LED 32" mpya nitapata kwa bei gani?
Itabidi tuwazukie PMMkuu Idimi naona hawa jamaa hawako serious. Mbona hawatoi majibu?
Naitaka sana hii tvSamsung smart tv 48"
Price 1600000View attachment 368379
Tufanye biashara mkuu 0718919725Naitaka sana hii tv
480000 wakuuNami swali langu ni hilo hilo
Samsung LED 32" mpya nitapata kwa bei gani?
Mkuu tushajibu sana hayo maswali, tumeshatuma hadi picha, pitieni posti za nyuma kidogoMkuu Idimi naona hawa jamaa hawako serious. Mbona hawatoi majibu?
Sawa mkuu nitafanya hivoMkuu Abdulwaid, kuna majadiliano zaidi ya 400 kwenye bandiko hili, naomba utuandikie tena 32''samsung led. Asante
Wewe km hiyo unauzaje?Subiri waje wenzangu mkuu mi hapo nimeshindwa
Smart samsung 50" ni 1.7mWewe km hiyo unauzaje?
[emoji15] [emoji15] milion 15!!Toleo la kisasa original kutoka Marekani Samsung Curved smart TV 50 inches mmpya shillingi million 15 cash Niko Dar .
Ndio. Mbona washangaa![emoji15] [emoji15] milion 15!!
aisee nimeona kama itakuwa uhaini kununua TV yenye thamani ya million 15.Ndio. Mbona washangaa!
Mkuu Abdulwahid tafuta480000 wakuu
Mkuu tutafanya hivo inshaallah tunaangalia upepo kwanza wa nchi, Asante kwa ushauri mkuuMkuu Abdulwahid tafuta
agent huku moshi/arusha
kwa bei zako utauza sana
huku mimi nataka hii ila usafiri najua itanikosti sana hapo