Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Lg NanoCell 65"
Price 2.8m
0777650286/0718919725
Tupo Mtendeni Zanzibar
IMG_20200327_195939_654.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi bei mpya za HISENSE TV
32 led 280000
32" smart 350000
40" led 450000
43" led 500000
43" smart 550000
49" smart 750000
55" smart 4k 1m
58"smart 4k 1.2m
Karibuni nyote, tupo Mtendeni Zanzibar
Mlio nje ya Zanzibar tunatuma pia kwa uaminifu wa hali ya juu ukiitaji hilo
Tupigie 0777650286/0718919725
61a330a0bac24ffa9d93b9b75f4c7dab.jpeg
384764f1047240d184ec5b1c815aa8d5.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama upo Mbeya, Mtwara, Singida au Morogoro kwa sasa unaweza kulipa Cash on delivery,
Hii ni kwa wale wote walio waoga wa kuibiwa na wanaosita kulipia mzigo kabla kufika.
Agiza chochote tukuletee utalipa mzigo ukifika
Muhimu kuwa serious, usitujaribu
Ahsanteni
0777650286/0718919725
61a330a0bac24ffa9d93b9b75f4c7dab.jpeg
IMG_20200327_195939_654.jpeg
IMG_20200326_165840.jpeg
IMG_20200326_113006.jpeg
IMG_20200325_090705.jpeg
IMG-20200323-WA0059.jpeg
IMG_20200323_110914.jpeg
IMG_20200323_133453.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama upo Mbeya, Mtwara, Singida au Morogoro kwa sasa unaweza kulipa Cash on delivery,
Hii ni kwa wale wote walio waoga wa kuibiwa na wanaosita kulipia mzigo kabla kufika.
Agiza chochote tukuletee utalipa mzigo ukifika
Muhimu kuwa serious, usitujaribu
Ahsanteni
0777650286/0718919725View attachment 1408019View attachment 1408020View attachment 1408021View attachment 1408022View attachment 1408023View attachment 1408024View attachment 1408025View attachment 1408027

Sent using Jamii Forums mobile app
kwa sisi wa Dar es salaam mkuu hiyo ofa haitupati?
 
kwa sisi wa Dar es salaam mkuu hiyo ofa haitupati?
Dar tulikua na huo utaratibu ila tulisitisha baada ya watu wengi kutusumbua bila ya kua na nia kuitaji chochote, anakuambia anataka, Unamtumia, unagharamika usafir na kodi ya tra inafika unamuambia tayar mzigo ushafika nenda kalipie uchukua mzigo wako anakata sim na ukimpigia hapokei tena
So tukasitisha kutokana na huo uhuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio mana na hao wa mikoani nikatahadharisha, anaetaka awe mkweli, asitujaribu, sio ushatuma mzigo ishafika sehem husika unamuambia nenda kalipie uchukue mzigo wako, anaanza blah blah
Mara nimetokea na msiba, sijui mambo yameenda vile sijui hivi, alimradi kashakusumbua na hakua na uhitaji wwte

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom