Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Hizi bei mpya za HISENSE TV
32 led 280000
32" smart 350000
40" led 450000
43" led 500000
43" smart 550000
49" smart 750000
55" smart 4k 1m
58"smart 4k 1.2m
Karibuni nyote, tupo Mtendeni Zanzibar
Mlio nje ya Zanzibar tunatuma pia kwa uaminifu wa hali ya juu ukiitaji hilo
Tupigie 0777650286/0718919725

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama upo Mbeya, Mtwara, Singida au Morogoro kwa sasa unaweza kulipa Cash on delivery,
Hii ni kwa wale wote walio waoga wa kuibiwa na wanaosita kulipia mzigo kabla kufika.
Agiza chochote tukuletee utalipa mzigo ukifika
Muhimu kuwa serious, usitujaribu
Ahsanteni
0777650286/0718919725

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa sisi wa Dar es salaam mkuu hiyo ofa haitupati?
 
kwa sisi wa Dar es salaam mkuu hiyo ofa haitupati?
Dar tulikua na huo utaratibu ila tulisitisha baada ya watu wengi kutusumbua bila ya kua na nia kuitaji chochote, anakuambia anataka, Unamtumia, unagharamika usafir na kodi ya tra inafika unamuambia tayar mzigo ushafika nenda kalipie uchukua mzigo wako anakata sim na ukimpigia hapokei tena
So tukasitisha kutokana na huo uhuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio mana na hao wa mikoani nikatahadharisha, anaetaka awe mkweli, asitujaribu, sio ushatuma mzigo ishafika sehem husika unamuambia nenda kalipie uchukue mzigo wako, anaanza blah blah
Mara nimetokea na msiba, sijui mambo yameenda vile sijui hivi, alimradi kashakusumbua na hakua na uhitaji wwte

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…