Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Mkuu nawapongeza sana kwa ufanisi mlio uongeza kwenye kaz yenu,mteja anapunguza wasiwasi pia bei yenu ni rafiki kwa mteja,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu tayar tumeshalipatia ufumbuzi tatzo lako, sasa unaweza kuagiza unachotaka ukalipa baada ya mzigo kufika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana kwa kuzingatia ushauri wangu kwa kuiongeza Dodoma miongoni mwa mikoa ya pay on delivery.

Nitakuunga mkono very soon

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Baada ya dar, kibiashara tawi linalofuata ni Mwanza na Arusha, Sasa wewe umetumia kigezo gani kuacha mahela mengi ya Mwanza na kufuata vihela vichache vya lindi, singida, mtwara,nk?
Lete tv Mwanza bana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya dar, kibiashara tawi linalofuata ni Mwanza na Arusha, Sasa wewe umetumia kigezo gani kuacha mahela mengi ya Mwanza na kufuata vihela vichache vya lindi, singida, mtwara,nk?
Lete tv Mwanza bana


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu subira tu na huko tutafika, malengo yetu mikoa yote watu walipe baada ya mzigo kufika kwa yyt mweny shaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…