Abdulwahid
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 2,766
- 1,565
1. Spea zake zipo za kutosha mkuu? 2. Ziko vizuri lakini mkuu? 3.Halafu mnapatikana wapi?
Nahitaji TV nzuri bajeti yangu ni Tshs 300000-500000/=
Broo unasony home theatre wireless speaker watt 1000Spea zipo, tv ziko poa tu, Tunapatikana Mtemdeni Zanzibar na Dar Kigamboni
Bei kama upo Zanzibar 32" 250000, 43" 480000
Kama upo dar 32" 290000, 43" 550000
Broo unasony home theatre wireless speaker watt 1000
4k tcl Bei gani mkuu
Sh ngap unanunuawakuu kama kuna mtu ana box la tv inch 49 hisence tufanye biashara
tafadhari
43 mkuuu wanguSize ipi unataka
Sh ngap unanunua
Mkuu43 mkuuu wangu
SAMSUNG soundbar hii ni kwa ajili ya kutoa sauti kwenye tv tu.. ina sound kali sanaaa kwenye movie.. pia music wake quality sana
ina optical audio na audio aut cable
haina radio wala Bluetooth
subwoofer yake unaweka popote haitumi waya ni wireless
0713799522View attachment 1495450View attachment 1495451View attachment 1495452View attachment 1495453
Kigamboni mpo kwa wapi mkuu? Maana nipo kigamboni hapa.Spea zipo, tv ziko poa tu, Tunapatikana Mtemdeni Zanzibar na Dar Kigamboni
Bei kama upo Zanzibar 32" 250000, 43" 480000
Kama upo dar 32" 290000, 43" 550000
43" hiyo nina Tshs 450,000/=Spea zipo, tv ziko poa tu, Tunapatikana Mtemdeni Zanzibar na Dar Kigamboni
Bei kama upo Zanzibar 32" 250000, 43" 480000
Kama upo dar 32" 290000, 43" 550000
Kama Kuna43" hiyo nina Tshs 450,000/=