Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Upo wapi mkuu tuyajenge km bei inashuka kidogo
 
Hisense inch 65.. Ilitumika chini ya siku 30 toka inunuliwe, dogo akaigonga!! Ikiwa off huoni cracks.. Ukiswitch on ndo vurugu tupu.. Picha imekatikakatika..
Niliambiwa kutengeneza yake ni kuagiza kioo nje na bei yake imesimama..
Niliirudisha ndani ya box toka December 2019. Sijaitoa na sijui ipo na hali gani.
Leo nimekutana na huu uzi; msaada wa mawazo tafadhali.
1. Ni kweli kioo hadi kuagiza nje?
2. Nikijipinda kuagiza kioo, itarudi kawaida?
3. Naweza ku offload kwa hasara? Nusu hasara kuliko hasara kamili

Shukrani
 
hapo mkuu nakushauri nunua TV nyengn, hayo mambo ya kuagiza kioo utasumbuka na kupoteza hela tu, kwanza ni expensive, gharama unaongeza hela kidogo tu unapata TV nyengn mpya kama hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…