Nitakucheki vipi hujataja bei mkuu.Nichei 0755655516
Mmmhh hii ni TV au injini ya Fuso??Nahitaji mtu wa kubadilishana nae TV nimpe hii philipsi na hela kidgo ye anipatie tv ya nchi 32 samsung au LG au smart
View attachment 1817543View attachment 1817544View attachment 1817545
Flat TV nchi 43 ( Brand New, siyo Smart ) naweza kuipata kwa bei gani ?
Upo wapi mkuu tuyajenge km bei inashuka kidogoHisence smart tv[emoji736]
40 inch slim[emoji736]
full hd 1920×1080 pure HD[emoji736]
HLG support[emoji736]
game enhancer[emoji736]
wi-fi n ethernet connectivity[emoji736]
screen mirroring tech[emoji736]
integrated chrome browser[emoji736]
2HDMI[emoji736]
2USB &OPTICAL[emoji736]
ENERGY STAR[emoji736]
Dolby speaker yaan utoitaj subwoofer [emoji736]
Used miez 5 tu[emoji736]
Bei 765000 tu[emoji736]
Call 0683011003View attachment 1818250View attachment 1818251View attachment 1818252View attachment 1818253View attachment 1818254View attachment 1818255
Hii kwa brand yeyote au brands zipi ?680,000
Bahari Beach, Dar es salaam!Upo wapi mkuu tuyajenge km bei inashuka kidogo
daaaaaaaa[emoji24][emoji24][emoji24]Mmmhh hii ni TV au injini ya Fuso??
Inch 65 Samsung SMART bei gan Mkuu.Almost tv nyingi brand za kueleweka ziko vizur, ila kama bajeti inaruhusu chukua Samsung, Lg au Sony
2.3m nowInch 65 Samsung SMART bei gan Mkuu.
Mpka Dodoma.
Samahan unaweza kuniwekea na bei za brand nyingine za inch 65 ulizo nazo,mfano2.3m now
lg 2.3mSamahan unaweza kuniwekea na bei za brand nyingine za inch 65 ulizo nazo,mfano
TCL,STAR X, HISENSE,LG nk.zote smart.
lg 2.3m
tcl 1.8m
hisense 1.8m
star x 1.7m
binrashid_electronicsMkuu naomba nitumie handle yako ya instagram, kuna mteja anataka kuona mali
Bado unayo iyo Tv,mie nakupa 40 iyo tv star XView attachment 1795517
Star x 32 unanipa shingap machine hi
Au kama kunipa kioo unanipa kwa shingapi
Ulitokea ugomv ikapasuliwa ila iko pow na remote yake
Bado unayo iyo Tv,mie nakupa 40 iyo tv star X
Asant mkuu nawe Allah akupe kila lakheri na maisha yeny furaha@Abdulwahid
Mungu akuweke sana brother
Happy kufanya busness na wewe
hapo mkuu nakushauri nunua TV nyengn, hayo mambo ya kuagiza kioo utasumbuka na kupoteza hela tu, kwanza ni expensive, gharama unaongeza hela kidogo tu unapata TV nyengn mpya kama hiyoHisense inch 65.. Ilitumika chini ya siku 30 toka inunuliwe, dogo akaigonga!! Ikiwa off huoni cracks.. Ukiswitch on ndo vurugu tupu.. Picha imekatikakatika..
Niliambiwa kutengeneza yake ni kuagiza kioo nje na bei yake imesimama..
Niliirudisha ndani ya box toka December 2019. Sijaitoa na sijui ipo na hali gani.
Leo nimekutana na huu uzi; msaada wa mawazo tafadhali.
1. Ni kweli kioo hadi kuagiza nje?
2. Nikijipinda kuagiza kioo, itarudi kawaida?
3. Naweza ku offload kwa hasara? Nusu hasara kuliko hasara kamili
Shukrani