Mgjd
JF-Expert Member
- Feb 19, 2012
- 532
- 132
Nipo Dar es salaam.. TemekeUnapatikana wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo Dar es salaam.. TemekeUnapatikana wapi?
Umenunua kwa nani?Wakuu salama? Naomba kujuzwa utaratibu wa kutoa tv Zanzibar hadi mkoani bara huku, nmenunua kwa mshkaji sasa sijajua utaratibu wa kuitoa kule kuja uku, natanguliza shukran zangu
Mdau wangu anataka abadilishe brand akaniuzia hiyo
Mwambie akupelekee posta, watakuletea hadi mkoa ulipoWakuu salama? Naomba kujuzwa utaratibu wa kutoa tv Zanzibar hadi mkoani bara huku, nmenunua kwa mshkaji sasa sijajua utaratibu wa kuitoa kule kuja uku, natanguliza shukran zangu
Asante sana mkuu, na garama zake zinakuaje? Ni tv inch 55Mwambie akupelekee posta, watakuletea hadi mkoa ulipo
brand ganiAsante sana mkuu, na garama zake zinakuaje? Ni tv inch 55
Lgbrand gani
kama itakua na box lake ni around 150000
Option ipi itakua nafuu kdgo? Na iyo 150,000 ndo pamoja na kodikama itakua na box lake ni around 150000
Samsung 3.5m"75 ni sh ngapi mkuu??
hiyo ndo nafuu ndugu, hapo ni kila kituOption ipi itakua nafuu kdgo? Na iyo 150,000 ndo pamoja na kodi
Ooho, shukran sana mkuu kwa maelekezo yako mazuri🙏🙏hiyo ndo nafuu ndugu, hapo ni kila kitu
Sikiliza TV ya inch 32 inauzwa laki 4 fanya mara 4 utapata milioni 1.6. Turudi kwenye TV ya inch 65 huwezi kupata kwa 1.6m bei yake inaanzia milioni 2 ukilialia sana unaweza kuuziwa 1.9m4 sio masihara wewe zikiunganishwa zote size yake unaionaje?!
Kwa mbili ndio upimbi ila sio 4 asee
Lg, Boss, samsung au mr.UK mimi nimechukua mr. Uk jana k/koo 65" picha ni clear mno hata kama mechi ikiwa zbc 2Brand gani ya TV mpya nchi 43 itafaa kuonyea mpira Yusomwasha
Umechukua bei gani mkuu? Mi nataka nchi 43 isiyo Smart au naomba contacts zao....nipo kkoo niwapitie hapo chap kabla hawajafungaLg, Boss, samsung au mr.UK mimi nimechukua mr. Uk jana k/koo 65" picha ni clear mno hata kama mechi ikiwa zbc 2