Abdulwahid
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 2,766
- 1,565
hazina shida yytHaisumbui?
Uimara wake upoje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hazina shida yytHaisumbui?
Uimara wake upoje?
Nipo Kibaha, unaweza kuituma?hazina shida yyt
Njoo uchukue Samsung original 32 Inchi kwa 350 tu. (location Magomeni Dar)Kwa bajeti ya 300k, TV gani nzuri naweza kupata mkongwe?
Nipo serious!
Pc mkuuNjoo uchukue Samsung original 32 Inchi kwa 350 tu. (location Magomeni Dar)
Njoo Pm
Mkuu, star x 40", 42"na 43" (sio smart tv) bei zipoje? Nahitaji moja kati ya hizo (itadepend na bei)star x 32"
tunazo 42 tunauza 550000Mkuu, star x 40", 42"na 43" (sio smart tv) bei zipoje? Nahitaji moja kati ya hizo (itadepend na bei)
vipi huku mikoani mnatuma?
na uaminifu upoje nnapotuma hela kabla mzigo unifikie kwa sababu watu wengi si waaminifu ndugu hapo tu ndo tunapata shida kwenye mauziano ya mtandaoni.
Sawa mkuu , labda niseme bnafsi sina utaalamu sana wa kufaham tv orginal na tv fake ila hiyo 42 ni sawa na naona itanifaa.tunazo 42 tunauza 550000
kuhusu uaminifu pitia maoni ya wadau humu wanaongeaje kuhusu mimi
0777650286Sawa mkuu , labda niseme bnafsi sina utaalamu sana wa kufaham tv orginal na tv fake ila hiyo 42 ni sawa na naona itanifaa.
Nadhan bei ndo tuzungumze
Poa poa mkuu, ntakutafta0777650286
Uko wapi boss?lg smart 4k 43"
Second hand from UK,
good condition, (kama mpya)
bei 600000 tu
0777650286View attachment 2147787View attachment 2147788View attachment 2147789
Mtendeni ZanzibarUko wapi boss?
Tatzo la goodvision hazitimii inches.Kuna mdau mmoja kaniambia tv nzuri ya smart ya Goodvision naweza pata kwa 540,000/= inch 42. Ushauri kuhusu hili
hyo bei unapata hisense inchi 40 smart tv mpya iko boxedKuna mdau mmoja kaniambia tv nzuri ya smart ya Goodvision naweza pata kwa 540,000/= inch 42. Ushauri kuhusu hili
Location plz nipo sengerema inafikaje?UNALETEWA MBAKA MLANGONI
TALK WITH US 0766648278View attachment 2173781View attachment 2173782View attachment 2173783
Wapi nikupe cash chaphyo bei unapata hisense inchi 40 smart tv mpya iko boxed
vipi Kuhusu Simu Boss Naweza KupataMtendeni Zanzibar