Emmanuel S Jonathan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 379
- 278
Kaka kwema una redio inaitwa samsung air track na tv za 4k zinaendajePitia hapo juu mkuu, nnazo star x 32" utaongeza 30000 tu kwa ajili ya usafiri kama upo nje ya zanzibar, au kama utakuja mwenyewe ofcn utachukua kwa bei hiyohiyo 320000
Hizo redio hatuna, tv za 4k imebaki moja lg uhd smart 4k, bei 1250000Kaka kwema una redio inaitwa samsung air track na tv za 4k zinaendaje
Angalia post [HASHTAG]#593[/HASHTAG]Kaka kwema una redio inaitwa samsung air track na tv za 4k zinaendaje
Ni inch ngpi iyo tvHizo redio hatuna, tv za 4k imebaki moja lg uhd smart 4k, bei 1250000
43"Ni inch ngpi iyo tv
Mkuu vioo ni shida hamna kabisa, nunua tu tv nyengine kama bajeti yako iko vizurHabari. Natafuta kioo cha flat screen ya tcl 25"..kama unafahamu kinapopatikana..
asante sana kwa majibu, je kwa upande wa home theatre watts 1000 sony inapatikana kwa bei gani? nataka kinu cha uhakika ndani mziki wa kueleweka unachuja vzr!Mpaka moshi ni 500000 tu kiongozi, na unaweza kulipa baada ya kupokea mzigo
Sony hometheater ya 1000W ipo DZ 650, Bei mpaka moshi 700000asante sana kwa majibu, je kwa upande wa home theatre watts 1000 sony inapatikana kwa bei gani? nataka kinu cha uhakika ndani mziki wa kueleweka unachuja vzr!
2hdmi port, 1usb port, 1AV in,LG led nchi 43 naomba specifications zake na bei
Shukran kiongozi, nakutakia kila la kheri, pia asante na wewe kwa kuniaminiNashukuru sana Abdul Wahid,niliagiza Tv kwako aina ya Star X inch 32 na hii leo nimeipokea ikiwa salama huku Musoma.Nakutakia kazi njema na uendelee na uaminifu huo..
Bei 500000 kiongozi, ila hapo kitonga sijakuelewaLG LF550D nipeni bei ila iwe kitonga