Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Pitia hapo juu mkuu, nnazo star x 32" utaongeza 30000 tu kwa ajili ya usafiri kama upo nje ya zanzibar, au kama utakuja mwenyewe ofcn utachukua kwa bei hiyohiyo 320000
Kaka kwema una redio inaitwa samsung air track na tv za 4k zinaendaje
 
Habari. Natafuta kioo cha flat screen ya tcl 25"..kama unafahamu kinapopatikana..
 
Mpaka moshi ni 500000 tu kiongozi, na unaweza kulipa baada ya kupokea mzigo
asante sana kwa majibu, je kwa upande wa home theatre watts 1000 sony inapatikana kwa bei gani? nataka kinu cha uhakika ndani mziki wa kueleweka unachuja vzr!
 
asante sana kwa majibu, je kwa upande wa home theatre watts 1000 sony inapatikana kwa bei gani? nataka kinu cha uhakika ndani mziki wa kueleweka unachuja vzr!
Sony hometheater ya 1000W ipo DZ 650, Bei mpaka moshi 700000
 
LG led nchi 43 naomba specifications zake na bei
2hdmi port, 1usb port, 1AV in,
Model 43LF540T
c36d50328c9bfaf2ea7d51e57e1f72a2.jpg

Resolution: 1080p, ya 2016
Bei 800000
 
Nashukuru sana Abdul Wahid,niliagiza Tv kwako aina ya Star X inch 32 na hii leo nimeipokea ikiwa salama huku Musoma.Nakutakia kazi njema na uendelee na uaminifu huo..
Shukran kiongozi, nakutakia kila la kheri, pia asante na wewe kwa kuniamini
 
Nauza flat screen bei PoA kabisa jina JVC pamoja na simu ukihitaji ni pm
 
Back
Top Bottom