LED kirefu chake ni Light emitting diode, ni technology nzuri kwenye TV Picha inakua angavu zaidi kulinganisha na zile za plasma, LCD. kwa kifupi kuna vi pixels vingi ndani Kama taa ndivyo vinavyotoa mwanga, LCD zina kemikali Kama maji ndio zinazotoa Picha ndani. Smart TV, ni zile zenye Uwezo wa Kua connected wireless na vifaa vingine e. g Wi-FiSamahani wadau hivi inapokua LED huwa inamanisha nini
Light emitting diode(LED) ni technology iliotumika kutengenezea kioo cha TV.Hii ni new generation nyuma yake vioo vilikua ni LCD (liquid crystal display).Samahani wadau hivi inapokua LED huwa inamanisha nini
Aggrey street nyuma ya China plaza, kariakoo.Unapatikana wapi boss?
Kuna jamaaa anaiuza 400 tu hapahapaSi smart TV ni LED TV,
Smart ninayo TCL smart inch 32 470,000/View attachment 526107
Mpya?Kuna jamaaa anaiuza 400 tu hapahapa
KabisaaaaMpya?
.functionally what are the differences between those two.?please[/QUOTE]Star x led 32" kwa 330000 au tcl smart 32" kwa 400000
.functionally what are the differences between those two.?please[/QUOTE]Star x led 32" kwa 330000 au tcl smart 32" kwa 400000
Mpya?
Kuna jamaaa anaiuza 400 tu hapahapa
Lg 32 nch 390000 dar kigamboni 0718939972
je utofauti wake utaujuajehizi original zenyewe za corea angalia tofauti mpaka 500000 kamili nakupa sio za misri hizi ni corea wenyewe
Yes inawezekanaje inawezekana TV ikawa LED na Smart tv kwa pamoja... plzzz niondoeni tongotongo
Tena almost zote ni led na smart, Kama nilivyosema smart ni TV yenye uwezo wa ku connect na device zingine kwawireless Ila led ni technology tu ya kioo Au Pichaje inawezekana TV ikawa LED na Smart tv kwa pamoja... plzzz niondoeni tongotongo
asante mkuuTena almost zote ni led na smart, Kama nilivyosema smart ni TV yenye uwezo wa ku connect na device zingine kwawireless Ila led ni technology tu ya kioo Au Picha
Hapana mkuu,sifanyi exchange!Mkuu hufanyi exchange..nna kasamsung 32 nahitaji star x 43 io nikuongezee na kiac gani..