Abdulwahid
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 2,766
- 1,565
350000Samsung inches 24 shilingi ngapi? mpaka Muheza tanga
Hapana, kama ipo posta tutakuletea hadi posta ya huko, kama hamna utaifata Tanga mjini
Mkuu nahitaj nchi 24, una aina gani?Alieko arusha na anashida ya tv yoyote anijuze nitampatia kwa bei nzuri sana.
budget yangu ni 400,000/=
550000
naweza pata chini ya watt 1000 kwa 400,000/=?
550000
Hatuna mkuunaweza pata chini ya watt 1000 kwa 400,000/=?
nipe list ya bei nzuri nijichangeHatuna mkuu
Kiongozi unayo samsung inch 40 na kama ipo bei ganiSpecial offer ya samsung led 32"
Ni brand ne
Model UA32FH4003
PRICE 400000 TU
Contact: 0777650286 & 0718919725
Mkuu nashukuru sana, mzigo umefika salama, picha ziko very clear, thanks a lot !0715677739
Nami nasubir mzigo wangu nione mambo..umechukuliwa leoMkuu nashukuru sana, mzigo umefika salama, picha ziko very clear, thanks a lot !
Safi mkuu, star x TV, picha safi sana, mzigo huyo bwana anakufikishia kwa usalama kabisa.Nami nasubir mzigo wangu nione mambo..umechukuliwa leo