Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Offer ! Offer !offer
ZANZIBAR GENERAL SUPPLY
wanakuletea punguzo la bei katika Msimu huu kama ifuatavyo!

Pata LG au SAMSUNG 32 Inches Led Smart Tv for only 350,000Offer ! Offer !offer
ZANZIBAR GENERAL SUPPLY
wanakuletea punguzo la bei katika Msimu huu kama ifuatavyo!

Pata LG au SAMSUNG 43 Inches Led Smart Tv for only 450,000 tshs

[HASHTAG]#specifications[/HASHTAG]
.HDMI SUPPORT
.Built decoder
.wifi support
.usb ports etc

Tunapatikana Malindi mjini Zanzibar

[HASHTAG]#Wakazi[/HASHTAG] wa Zanzibar unaletewa popote ulipo bure/Tanzania bars tunatuma baada ya malipo kwa usalama na uaminifu mkubwa.

#NB one year warranty
[HASHTAG]#cont[/HASHTAG] 0712986773 tshs

[HASHTAG]#specifications[/HASHTAG]
.HDMI SUPPORT
.Built decoder
.wifi support
.usb ports etc

Tunapatikana Malindi mjini Zanzibar

[HASHTAG]#Wakazi[/HASHTAG] wa Zanzibar unaletewa popote ulipo bure/Tanzania bars tunatuma baada ya malipo kwa usalama na uaminifu mkubwa.

#NB one year warranty
[HASHTAG]#cont[/HASHTAG] 0712986773
 
Offer ! Offer !offer
ZANZIBAR GENERAL SUPPLY
wanakuletea punguzo la bei katika Msimu huu kama ifuatavyo!

Pata LG au SAMSUNG 43 Inches Led Smart Tv for only 450,000 tshs

[HASHTAG]#specifications[/HASHTAG]
.HDMI SUPPORT
.Built decoder
.wifi support
.usb ports etc

Tunapatikana Malindi mjini Zanzibar

[HASHTAG]#Wakazi[/HASHTAG] wa Zanzibar unaletewa popote ulipo bure/Tanzania bars tunatuma baada ya malipo kwa usalama na uaminifu mkubwa.

#NB one year warranty
[HASHTAG]#cont[/HASHTAG] 0712986773
 
Mkuu naomba picha za inch 43 lg alafu Niko dar es salaam taratibu za usafirishaji zikoje
 
Mkuu hapa hatutaki utapeli. Na Kule kupatana Nakuona Sana. Kuweni makini Na huyu mtu.
 
usithubutu ndugu huyo jamaa inasemekana ni tapeli ana nyuzi zake nyingine zitafute zitakusaidia usilizwe.
Mkuu nisingeweka shekeli yangu kamwe Bila kuthibitisha ili nimemfuata watsap tayari ameshanipa wasiwasi wa kutosha hivo siwezi thubutu
 
Inaweza ku connenct na simu wireless
Mkuu sor nilikuwa na majukumu ya kifamilia njee ya dar....huwa zinaconnect na wiress unawaz ata kufungua ktk simu ukacconect na tv...ila hio samsung imepata mtu...jumatatu naweza kupata item nyingne smart nitaileta jukwaan or utanicheck whatsapp
 
Reactions: SIM
Babu embu acha hizo maisha magumu watu wanataka item za kwenda kutumia nyumban na familia zao..kwanin unataka kuibia watu? Embu tafuta mitandao ya kuibia watu sio humu ndani...na pia usitumie jina la zanbr kufanyia utapeli wako...
 
Hahhaha hatare@ mjushi
Mkuu huyo jamaa ni bwege sana then utapeli wake wa kizamani sana...juzi kati nilimtega nataka hometheart nikiwa nipo zanzbr ananielekeza sehem ambayo hakuna duka...hizo hometheater zanzbr zima palikuwa hakuna na ukiipata basi ni laki 6..ili lijamaa linasema anzo kwa 380
 
Reactions: SIM
Ni mwizi huyo jamaa ila target yake ni kurushiwa pesa..maana ukimwambia unae ndugu yako zanzbr anakuja dukani kwako apokei tena simu zako...umeshakuwa sio dil tena jinga jinga alina tofaut na lile toto lilokuwa linateka watoto arusha na kudai pesa...ni jizi ni jizi la kijinga
 
Reactions: SIM
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…