Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

.
Huyu mzanzibar ni kweli tapeli huyu kuna siku namuuliza kuhusu bidhaa anajibu majibu ya ukali ndio nikajua huyu Tapeli ukiuliza sana kuhusu hali ya bidhaa au kama uko dar malipo yanakuaje ana kuwa mkali sana na hajiamini.
Huenda akawa hata siyo mzanzibar anatumia ule uaminifu wa wazanzibar kutapelia watu, jinga kabisa hili. subiri siku uingie kwenye 18 za wanaume tukutie pili piliza mkyundu ndio utaelewa
 
Kuna samsung 32inch haina kitako natoa na bracket ya ukutani loction dar bei 380k kama upo serious na utatoa hiyo bei namba yangu ni 0716917896 nicheck tuyajenge
 

Attachments

  • 20171012_080354_HDR.jpg
    48.7 KB · Views: 80
  • 20171012_075540.jpg
    199.7 KB · Views: 81
Nauza tv samsung inch 24 led na remote used ila imenyooka
Av
Usb support
Vga
Hdmi
300000sh na maongezi yapo ni pm.


 
...inch 20 na inch 22..used ktk good condition...VGA, SCART,AV,HDMI...bei ni fixed laki na nusu kwa inch 20 na laki na 80 kwa inch 22........0629565168
 
Nauza tv luck digital 22 Led inches 22 used ina remote yake na ipo vzr
Serious njoo pm
 
Kwa maelezo niulize hapa hapa nitakujibu kwa serious business njoo PM or 0629565168
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…