Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yep ni brand utaichoka mwenyeweHome base ndio jina la hiyo TV au!!!
unarudi lini?Mi nipo tunduma naenda zambia, nikirudi ntakuja kuiona, ila king'amuzi kwakweli sihitaji.
Mkuu niliipeleka kwa fundi wangu alinibadilishia mashine,nilinunua mashine Kariakoo kwa elfu 90, amefunga kitu kimetulia.Colour yake huwezi amini kama mashine ya mchina.mimi ya kwangu imevunjika kioo so tukubaliane ama we uniuzie kioo au nikuuzie motherboard
Samsung 40" led seris 5, ni 800000 hadi arusha, lg 42" ni 900000 hadi arushaNaomba kuuliza bei ya TV lg au Samsung inches 40 flat screen ni bei series 5 mm Niko Arusha ijumuishe na usafr natanguliza shukrani za dhati
0718919725, 0777650286, kila la kheri mkuuNgoje mwisho wa mwezi nitakujulisha mkuu unipe namba yako cmu what's App utanipa details ya upatikanaji wake
630000Mkuu hiyo smart 32" nikiipokelea DAR itakuwa bei gani
Subiri waje wenzangu mkuu mi hapo nimeshindwaNina 1m nahitaji smart tv aina nzuri ambayo siyo chichi pipo inch kuanzia 50" iwe mpya.leteni vitu pia nipo wazi kwa idea zenu