Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Natafuta lg TV inch 32 ambayo ni mbovu ila display yake iwe nzima,mwenye nayo ani pm
 
Star x led 32" kwa 330000 au tcl smart 32" kwa 400000
6a7b8dd7a7cdeb3d6b6a59a88f82dbde.jpg
a31d9a5a808f1e7bdb5484a254bb8565.jpg
.functionally what are the differences between those two.?please[/QUOTE]
nataka hiyo star x kwa 330000 nipe namba
 
Mkuu hiyo tv tunayo, tunauza 1.55m, hiyo homtheatre imekosa ilo sharti la smart tu, vigezo vyengine vyote vipo, tunauza 600000
Mkuu Abduwahid mm nahitaji radio tena naweza ifata huko Zenji kbs ila naomba kujua hapo bandarini hawatanisumbua masuala Ya mapato
 
Back
Top Bottom