king otaligamba
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 2,178
- 2,033
Sasa kama unataka mpya si uende dukani. OvaNatafuta T.V., brandy Panasonic, size walau kuanzia 32+, iwe mpya kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama unataka mpya si uende dukani. OvaNatafuta T.V., brandy Panasonic, size walau kuanzia 32+, iwe mpya kabisa
Kodi ni lazima utalipa, sjui redio gani unaitaji, naweza kukusaidia kupunguza gharama piaMkuu Abduwahid mm nahitaji radio tena naweza ifata huko Zenji kbs ila naomba kujua hapo bandarini hawatanisumbua masuala Ya mapato
Na hapa pia ni dukani maana wengi wanaouza hapa ni wenye maduka ya hizo bizaaSasa kama unataka mpya si uende dukani. Ova
Okay ntakapokuwa tayari nadhani nitakujulisha aina ya radio nnayohitaji mkuuKodi ni lazima utalipa, sjui redio gani unaitaji, naweza kukusaidia kupunguza gharama pia
52" sina tena mkuu,43" iko mpya 930,000/Nahitaji TV 51" LG kama iko available nijuze.. Uniambie na price
Kabisa ndugu. Hawa wanaouza hapa ni wamiliki wa maduka. [emoji106] [emoji106]Na hapa pia ni dukani maana wengi wanaouza hapa ni wenye maduka ya hizo bizaa
52" LG ndo naitamani sana.. But ngoja niona namna ya kuruhusu ubongo wangu kukubali hiyo 43" nitaku PM tuyajenge52" sina tena mkuu,43" iko mpya 930,000/
Nnayo used 430,000/ SamsungNahtaji Samsung 32" used. Mwenye nayo tujuzane
Ipo 49" kwa 1.2mNahitaji TV 51" LG kama iko available nijuze.. Uniambie na price
Ipo 49" kwa 1.2m![]()
Sijawahi kuiona hiyo mkuu tangu nianze kuuza hizi bidhaa, najua ukitoka 49" ni 55" kwa ksmpuni ya lgNimekusoma ila 52" is appropriate. ila nitaku-PM tuchonge hiyo bei tufike ultimatum.
mmmmh mkuu hta mie ndo kwanza nasikiaSijawahi kuiona hiyo mkuu tangu nianze kuuza hizi bidhaa, najua ukitoka 49" ni 55" kwa ksmpuni ya lg