Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Kuna ya speaker fupi tatu na ndefu mbili bei 750000 na ya speaker nne ndefu fupi moja 900000 zote ni wats 1000 njoo whatsapp nikutumie picha 0714-417739
 
Star x led 32" kwa 330000 au tcl smart 32" kwa 400000
6a7b8dd7a7cdeb3d6b6a59a88f82dbde.jpg
a31d9a5a808f1e7bdb5484a254bb8565.jpg
.functionally what are the differences between those two.?please[/QUOTE]
Iyo tcl smart tv unauza 400k...ni pm tuelewane
 
Wakuu nina import TV mpya kutoka Dubai na ningependa maoni yenu kwenye bei:
Daytek 32 inches Led laki 450
Yihai inch 32 LED laki 430
Samsung Plasma 51 inches 1.3m
Samsung 51 inches LED 1.8m
Samsung 60 inches plasma 2.7m
Je hizi bei mnazionaje
Hiyo ya nchi 60 ingekuwa LED ningekuwa hela yako muda wowote kuanzia sasa
 
AINA YA KINGAMUZI STAR TIMES ( DISHI)
MUDA WA KUTUMIKA MWEZI 1
SABABU YA KUUZA NATAKA KUAMA TOKA STARTIMES KWENDA DSTV
BEI HALISI NI 90,000 PAMOJA NA KIFURUSHI
MIMI NAUZA 70,000 PAMOJA NA KIFURUSHI

UNAPATA FULL SET YANI DECODER NA UNGO WAKE WA STARTIMES

MAWASILIANO 0717184353

ONYO LENGO NI BIASHARA TENA UWE MNUNUZI BRAH BRAH SITAKI
 
Back
Top Bottom