Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

nahitaji ,panasonic au sony bravia kuanzia nch 40 had 43 iwe led.iwe na HDMI ports,usb ports na walau UHD
 
Wakuu Vipi na mimi muuza TV pia nakaribishwa kwenye huu Uzi? Ila mimi nauza TV mpya. Brand mbalimbali , Sony ,lg, samsung, panasonic , tcl, boss, vitron, hitachi, sharp, na kadhalika.. naomba kwanza mniruhusu wakuu na mimi niwepo humu kwenye huu uzi
 
Wakuu Vipi na mimi muuza TV pia nakaribishwa kwenye huu Uzi? Ila mimi nauza TV mpya. Brand mbalimbali , Sony ,lg, samsung, panasonic , tcl, boss, vitron, hitachi, sharp, na kadhalika.. naomba kwanza mniruhusu wakuu na mimi niwepo humu kwenye huu uzi
Karibu mkuu....tunakuitaji zaid
 
6fb460428f9b899994760f4298586d31.jpg
c6be1dc722d7d7d7f11fc29bb4758159.jpg
7717f6acad5192d4329e2323351f9f0c.jpg
....full hd, triple tuner, 3d smart tv....Philips inch 42...bei 600000 ( upande wa kushoto juu imemeguka kidogo wakati inashushwa ktk kontena iliteleza coz ni kioo kitupu ktk body yake ya pembeni)
 
Back
Top Bottom