Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Natafuta TV yoyote flat screen ya kununua ambayo ina kingamuzi ndani kwa ndani, bei tutajadiriana... Kama unayo njoo direct kupitia 0658837650/0754827650
 
Toshiba smart tv inch 49 zipo mbili tu....bei 1200000/=@1
IMG_20180505_143517_554.jpg
IMG-20180505-WA0022.jpg
IMG-20180505-WA0023.jpg
 
Boss hiyo 43inch led imenyooka kama mpya kasoro box inatakiwa 670k mazungumzo yao kidogo nicheki kwa no 0716917896
20180505_081901.jpg
20180505_081905.jpg
20180505_081929.jpg
20180505_081943.jpg
20180505_081953.jpg
 
Hey wakuu natumai mko poaa....

Nahitaji screen ya tv flat lg model no... May67097701...108sm/43 mwenye nayo au anaemjua fundi wa hiyo kitu anisaidie plzzz... Nipo dar
 
Back
Top Bottom