Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Waungwana nina TV yangu LG Inch 40, nilinununua kwa mdau mmoja humu JF, kioo kimekufa so please wadau natafuta kioo cha inch 40, nimajaribu kuulizia kaliakoo jana nimeambiwa laki 6 pamoja na ufundi. Vinginevyo nauza kama ilivyo kwa laki 2 tuuu wadau.
Specifications za TV nitaziweka baadae
 
Jamani nina laki tano nahitaji ya inchi 40+ , kama kuna mwenye nia ya dhati kuuza aje pm , nataka tv ndani ya wiki hii
 
Waungwana nina TV yangu LG Inch 40, nilinununua kwa mdau mmoja humu JF, kioo kimekufa so please wadau natafuta kioo cha inch 40, nimajaribu kuulizia kaliakoo jana nimeambiwa laki 6 pamoja na ufundi. Vinginevyo nauza kama ilivyo kwa laki 2 tuuu wadau.
Specifications za TV nitaziweka baadae
Wacha nikanunue dukani tu humu noma
 
Acha uong samsung hawana inch 42 babaaa ahhhhh
unajua neno uongo tafsiri yake?? mkuu abdulwahid take it easy....samsung 42 wanazo mkuu unaweza kunitembelea offisin kwangu magomeni mapipa nitakuonyesha or instgram kwa jina la tv_used...whtsapp 0629565168
20180526_090823.jpg
20180526_090747.jpg
20180526_090713.jpg
 
Lg 32inch led tv ya mtumba from uk
H
ii tv ipo.tofauti na tulizozoea za dukani kutoka quality ya picha na sound kwa wanaojua tv za mtumba wananielewa nataka 410k tu nicheki kwa no 0716917896 tufanye biashara
20180505_141703.jpg
20180505_141714.jpg
 
@Abdulwahid mkuu uliniuziga Samsung Smart TV mwaka juzi......nimerudi tena mkuu ile TV wamevunja mlango wameiba....!! Sasa hivi nataka brand yoyote ndogo i.e TCL Inch32 (isiwe smart) ......!!! Sh. ngapi sijui....maana world cup hii kinyonge.
 
Back
Top Bottom