Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Hello kwa anayehitaji Samsung inch 37 nauza kwa bei kitonga tu laki tano na nusu .
Niko Lindi tuwasiliane kupitia namba hii 0717135641 nashindwa kua attach picha hapa
 
Cku mukiweka 4k kuanzia inch 49/55 ndio nitanunua. Saiz roho yangu ipo 4k tu
 
Cku mukiweka 4k kuanzia inch 49/55 ndio nitanunua. Saiz roho yangu ipo 4k tu
popote ulipo unaletewa kwa 2500000/= hio hapo samsung 4k inch 55 and 2years warranty
IMG_20180430_175029_744.jpg
e80b5d630f344039b484302d67470e21-1.jpg
 
TCL P Series 55" 4K UHD inauzwaje? Hasa series (55P607) na bei yake
 
kwa bei hiyo sitoweza mkuu
duh pole mkuu ila TCL unayoitaji ni 4k smart with Roku na imetoka 2017 sie tunaipata zaid ya $650 bado aijawa transit ila nitajaribu kwa kesho kukchekia kwa wadau wengine hio model ila njoo pm unipe bajeti yako or nitext 0629565168 pale dukan kwetu uwezi kuipata chini ya 1950/=
 
Back
Top Bottom