Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Mkuu duka lako linapatikana wapi?? Na guarantee muda gani???
Boss wangu sina duka, ni mtu wa kuja na mzgo na kuondka. Hutegemea ratiba yangu, dar hupatikana ubungo lakini kwa walio mikoani wote mzgo unafika. Kwasasa nipo Dubai. Na sio flat tu hata vifaa km laptop, simu, Magar natuma Kwa Bei rahis. Tv warranty ni Miezi sita
IMG-20190811-WA0006.jpeg
 

Attachments

  • IMG-20190811-WA0006.jpeg
    IMG-20190811-WA0006.jpeg
    63.7 KB · Views: 34
Lg smart 4k inch 49 Good condition location Dar. price 1.45milion. For More information call 0713277244.
20190809_201053.jpeg
20190809_201114.jpeg
 
Boss wangu sina duka, ni mtu wa kuja na mzgo na kuondka. Hutegemea ratiba yangu, dar hupatikana ubungo lakini kwa walio mikoani wote mzgo unafika. Kwasasa nipo Dubai. Na sio flat tu hata vifaa km laptop, simu, Magar natuma Kwa Bei rahis. Tv warranty ni Miezi sita View attachment 1178262
Laptop ya bei rahisi kwa matumizi ya nyumbani napata kwa bei gani?... Yoyote nzuri ambaya haina makando kando
 
Back
Top Bottom