Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

TATIZO NI HILI KWA UELEWA WANGU MM

watu wanapenda TV zenye majina makubwa kama samsung sjui LG lakini wanasahau kuwa hizo ni bei kidogo wanataka kwa bei pungufu so mchina hawez kuwatupa watu wake kawatengenezea copy ...mm nipo china elewa nikikwambia kuna copy za brand zote za tv mpka kuna TCL copy ..lg copy ..samsung copy ....kuepukana na hz copy check serial number ipo kwenye every original smart tv ...kwa hz nyingne sina uhakika ....tukiachana na hayo kwa research nilioifanya mm TCL ndio best affordable company made by chinese coz nmelinganisha skyworth, hisense which ni chinese brands n mostly tcl ina picha nzur zaid na quality nzur ndio maana wameweza kuuza piece nying kwa nchi za europe na marekani .....so kama unahitaj TV yenye picha nzur na smart Kwa bei nafuu TCL original ndio your goal hz nyingne ni nzur lkn hazijaifikia ....the rest majina ya ajabu ajabu hapo utapata ktu kwa hela ulioitoa ...hayo ndio maoni yangu


Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa maoni na utafitu ulioenda shule
 
Tahadhari: Kwa wale mnaopitapita Istagram, mkikutana na hawa watu wanaojitangaza wanadeal na hizo biashara na kua wapo Mtendeni Zanzibar,
Naambiwa hao watu ni wezi na huku Zanzibar hawapo
Hivo wapuuzeni, ukijichanganya ukadanganywa na price walizoweka ukawatumia hela ndo umeliwa ivo
Usije ukalaumu biashara zote za online ni utapeli
Screenshot_2019-12-29-14-49-10.jpeg
Screenshot_2019-12-29-14-48-37.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tahadhari: Kwa wale mnaopitapita Istagram, mkikutana na hawa watu wanaojitangaza wanadeal na hizo biashara na kua wapo Mtendeni Zanzibar,
Naambiwa hao watu ni wezi na huku Zanzibar hawapo
Hivo wapuuzeni, ukijichanganya ukadanganywa na price walizoweka ukawatumia hela ndo umeliwa ivo
Usije ukalaumu biashara zote za online ni utapeliView attachment 1306468View attachment 1306469

Sent using Jamii Forums mobile app
Sony led inakwendaje bei na usafiri wa huku dar
 
Tahadhari: Kwa wale mnaopitapita Istagram, mkikutana na hawa watu wanaojitangaza wanadeal na hizo biashara na kua wapo Mtendeni Zanzibar,
Naambiwa hao watu ni wezi na huku Zanzibar hawapo
Hivo wapuuzeni, ukijichanganya ukadanganywa na price walizoweka ukawatumia hela ndo umeliwa ivo
Usije ukalaumu biashara zote za online ni utapeliView attachment 1306468View attachment 1306469

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu lg mudic system watts 1000 napata kwa bei ganii
 
Back
Top Bottom